Haitapendeza kupita bila kumpongeza mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro,kwa kupambana na kuhakikisha Dampo la maji ya chai linafukiwa,leo nikuwa natokea moshi nimeona greda linafukia dampo hilo ambalo ni kero kwa abiria na watali wanaopita barabara ya Moshi arusha.Hakuna mkuu wa wilaya na Mkoa...
Mfanyabiashara maarufu nchini Kenya anayejiusisha na biashara ya madini katika mikoa ya manyara na Arusha pia ni wakili wa kujitegemea, Raymond Nyange ngoo mwenye miaka 37 mkazi wa Moshono Jijini Arusha amefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashitaka matatu.
Shitaka la kwanza linalomkabili...
Mkenya Davis Ngoo na baba yake Antony mragha ngoo ni wakenya wanaotumiwa na tajiri jonhson Muzama ambaye ni mbunge wa kenya na mfanyabiasha mkubwa wa madini ya green na Tanzanite kumiliki migodi Tanzania,Muzama ndio anawafadhili kuchimba migodi hiyo.Hawa wakenya wamejipatia mali nyingi sanaa...
Serikali imewaondoa wachimbaji wa spino epanko mahenge kwa madai madini hayo hayawanufaishi wa kazi wa mahenge.Madini hayo yanaishia Arusha,Mungu alivyo hana mabadala madini hayo yamegundulika simanjiro kitwai.Lengo la serikali kusimamisha migodi hiyo liliwalenga wananchi wa kaskazini ambao...
Mkuu wa mkoa Manyara unapotaka sisi wafanyakazi wa migodini Mirerani tulipwe mishahara unaelewa makubaliano yetu au unakurupuka tu.
Sisi wafanyakazi wa migodini tupasenti tunazopewa madini yanapotoka,sasa unapokuja na mambo yako ya mishahara huoni kuwa sisi ndio tutakuwa tunapoteza haki zetu...
Benki Kuu ilitakiwa kuifungia Exim benki tangu 2012,kutoka na uwizi unafanyia wateja wake,Benki ya Exim body yake imejaa maaskari wastafu mmoja wapo aliyekuwa IGP Omary Mahita.Wanaibia wateja nakufuta kumbukumbu zao,wateja wanapoulizia hela zao wanawafungulia kesi ya kutaka kuibia Benki.Mwaka...
Mkuu wa mkoa Arusha amekuwa anafanya siasa za kupoteza muda kwa kisingizio cha kusikiliza kero za wananchi lakini hakuna chochote kilicho fanyika. alikuja soko kuu tukampa kero zetu hakuna hata moja iliofanyiwa kazi, licha kutoa siku ziwe zimetekelezwa.
Anazunguka na maafisa wote serikali...
Wakenya wengi wamefoji vyeti vya urai wa Tanzania nakujimilikisha migodi ya Tanzanite,wanajifanya ni watanzania waliosoma Kenya.Wakenya hao ni chanzo cha utoroshaji wa Madini ya Tanzanite mirerani na green garnet kwenye migodi ya lemishuku.Uhamiaji waanze msako kila mgodi.
Hawa jamaa wanaotembea na gari la emergency tumewapa taarifa umeme umekatika kwetu tangu tarehe 30 mwezi 3 wanadai tusiokukwa na umeme tuchange sh,elfu kumi ndio watarudisha na tupo zaidi ya nyumba 100.Hivi rushwa nchii hii itaisha lini?
Mfanyabiashara wa madini ya tanzanite Arusha, Felex Manga amempiga risasi mtoto wa kimasai. Wakati akisherehekea kuuziwa shamba na baba yake eneo la Terati siku ya Jumamosi.
Siku ya tukio mtuhumiwa na familia ya aliyemuuzia shamba walifanya sherehe ya kumkabidhi shamba, ndipo mzee mwenye...
Tarehe 18 mwezi huu wa pili waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa, Edward Lowassa atatangaza rasmi nia yake ya kugombea urais mbele ya mkutano mkubwa Arusha ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Wapambe wake wameanza kutoa mualiko kwa watu mbalimbali ndani na nnjee ya arusha na kuna mabasi...
Mkurugenzi wa arusha kuamua magari daladala yasiingie mjini ni kukomoa wananchi wenye kipato cha cha chini,haiwezekani daladala la moshono lipitie philps mtu anaetaka kushuka nazi ashukie sanawari,wa kijenge na njiro kama anaenda sokoni ashukie unga limited.Hiyo ni kutafuta vurugu na migomo.
Jeshi la polisi mkoa wa kilimanjaro linawashikilia watu wanne zaidi wakidaiwa kuhusika na mauaji ya mfanyabiashara bilionea wa madini ya tanzanite Arusha Erasto Msuya 43 wawili kati yao walikutwa kwa mganga wa kienyeji (sangoma) wakifanyiwa zindiko ili wasikamatwe na vyombo vya dola.
Pia jeshi...
Kuna gari la matangazo linapita likitangaza kesho ni siku ya usafi mkoani arusha na mgeni rasmi ni mkuu wa mkoa magessa mulongo.Hiyo ni njia anayotaka kutumia kueneza propaganda zake,kuwa chadema haitakiwi tena arusha na kuutubia wananchi.Nawataka wanachadema kutokujitokeza kuungana na muuji...
Edna sauli mgombea wa ccm amekuwa akilalamikiwa na wifi zake kwa tabia ya kuwarubuni watoto wakike wa vyuo na kumletea kaka yake gidioni sauli ambae ni mmiliki wa club africo,na huwa anawafungia kwenye gari yake range rover ya blue nyenye tinted ya kutisha na huwa ananzuka nao akiwa na diwani wa...
Mgombea udiwani wa kata ya kimandolu Arusha Edna sauli ambae ni mkazi wa Njiro ambae anaungwa mkono na mzee Lowassa ambae ni rafiki mkubwa wa familia yake,ameanza kampeni chafu.
Edna anapita nyumba za wamasai na waarusha anaomba kura kwa kusema umefika mwisho wa kutawaliwa na watu wa kuja,nani...
Mwenyekiti wa kata ya Themi CCM ambaye alikuwa mgombea wa udiwani kupitia CCM Lobora Peter Ndarvoi amejiengua CCM nakujiunga na CUF baada ya jina lake kuenguliwa kugombea na CCM wilaya.
Lobora ambaye aliongoza kwenye kura za maoni jina lake lilikatwa na kupitishwa jina la mgombea namba mbili...
Vijana wenye hasira wamefunga barabara eneo la Kilombero karibu na daraja la Kidatu.
Nimejeribu kuongea nao hawanielewi naona wanaleta matairi na kuanza kuyachoma barabarani. Sijajua chanzo nini, niko njiani naelekea Ulanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.