Mfumo nadhan haupo sawa,wakati mwingine unasave changes na wakati mwingine hausave.Pole sana mkuu,lakini watu wengi wamepata hii scenario wakisikiliza watajirekebisha na kuwaita,ndio maana wakati mwingine unaona kuna majina yameongezwa kwa ajili ya kufanya interview.
Mkuu una akili sana.ndio maana wengi nilikuwa nawaambia pole maana hawajui waongealo na hawajui niko wapi sasa.Hii thread ni kwa manufaa ya wenye uelewa na ndio wanaoweza kupokea ujumbe huu na kuwa chanya katika kuelewesha.JF ni sehem ya kujifunza na kupata taarifa sahihi japo sio wote wafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.