Hivi hana wazazi huyo dada, kwani kwao hupajui? sikia,nenda kwa wazazi wake uwaambie kichacho endele ili waweze muweka chini maana mpaka hapo ina onyesha kabisa kua hawezi kukusikiliza wala kuku heshimu. baada ya hilo aipo badilika basi chukua hatua yoyote unayo ona inafaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.