Dah! Mimi naona ni kazi nzuri sana kwa rais wetu kwenda kujitambulisha nje! kwanini??!! ndio swali watu wanajuiliza hilo
Kwanza.. Rais wa awamu ya tatu alienda kujitambulisha nje ya nchi.. sasa ikaja uchaguzi mwingine ndio kikwete kachaguliwa.. sasa lazima aende nje kujitambulisha kwanza kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.