inawezekana upo serious sana na maisha, hivyo unajikuta mara nyingi hupendi upuuzi au mambo yasiyokuwa na faida katika maisha... hivyo ukiwa karibu na wanawake au mwanamnke unayevutiwa naye, akili inakuwa inamchambua kama ni mtu makini ama la, hivyo wao (yeye) wanakuona you are not romantic...
Mkuu Apostoo umeamza kuchelewesha portion kumbe upo na Mzee KY anakuvuruga akili, mwambie akukatie kiasi cha maana utambae... achana na jiji, kisha rudi kwa mganga akugange dhidi ya mstaafu! vinginevyo utawaangaisha wazazi wako kwa mara nyingine...
wewe ndiyo una tatizo! maana ye kaomba kupewa mawazo yanayoweza kumnufaisha kutokana na simu yake...
badala ya kumshirikisha fikra jengefu unaishia kumfanya ajione boya! Sasa wewe usiye boya ndo umweleweshe kwa namna iliyo bora ili aone tofauti yake na wewe! vinginevyo wewe haswaa ndiyo hufai...
Pole utazoea, kuepekana na hayo jiepushe na marumbano na mkeo/mpenzi... ni sawa na kufungulia sub-woofer kisha ukalalamia sauti kubwa. Kila mara ignore, ukiona dalili za kujibizana mpuuze... huo ndo uimara wa mwanaume.
swali lako haliko wazi ila na kuhusu people's power ni kweli ni falsafa nzuri ikiwa na watu sahihi wa kuisimamia. Viongozi wa CHADEMA (wale waliokuwa wakiibua kashfa ufisadi dhidi wa serikali kiasi cha kusababisha kujiuzulu kwa waziri mkuu) hatunao tena kiuhalisia. Wamebaki watu tu waliokatishwa...
nadhani hujamuelewa, kile anachokiwasilisha hapa ndicho pia ninachokiwaza. CHADEMA ya sasa sio tena ile iliyowafanya wananchi wengi kuipenda na kuiamini kuwa ilikuwa mbadala wa CCM katika kushika mamlaka ya kuiongoza nchi yetu.
Hii ya sasa ipo kujipoza na machungu waliyoyapata kutoka katika...
Mbona wewe unautangaza kwa kuuandikia post, ni mwendelezo wa kile unachokiwaza tu. Mbona tunaishi na visu ndani na hatujichomi wala kujikata. Anayechagua kufir₩a ni hiari yake wala si kwamba ukijua kuna ushoga lazima ufir₩e, chagua kuwa kile unachotaka kuwa.
Ukiona kisu cha jikoni kinafaa kwa...
Utajua kama grand malt zimemsaidia siku ukiacha kumnunulia hizo grand. Tiba ya kwanza ianze na dhamira yake binafsi kuacha pombe. Waweza pia mshirikisha mpango wa maana ambao utamchukulia pesa zake (labda pesa zake hazina matumizi mazito, hivyo zipo huru kufanywewa pombe) kiasi kwamba atazionea...
Kuchelewa kufa hakumaanishi hufi, wala hakuoneshi kuwa wewe uliyechelewa ni mjanja kuliko aliyekutangulia. Vinginevyo tambua kuwa moja ya sababu ya vifo vya wanaume ni wanawake wenyewe.
Wingi wa wanawake ni asili tu (nature). Fikiria tangu kutungwa kwa mimba, uwezekano wa kupatikana kwa mtoto...
Ataweza tu kwa kuwa bongo hakuna wachambuzi mahiri, karibia wote wanaelemea simba au yanga... kwa maana nyingine hakuna mtanzania asiyeweza kuchambua soka... kibongobongo kuchambua soka ni kama kuchambua mchele.
Hakuna weledi hata chembe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.