naitwa pili, hongera sana ndugu kuwa hapa forum maana unasaidia sana watanzania.nahitaji msaada wa matokeo ya kujiunga na vyuo vya ualimu,je yametoka?nisaidien jaman niko njia panda.jina ni pili lugera,nisaidie uniangalizie kama nimechaguliwa ndugu yangu.email yangu ni maduhujackier@gmail.com
hata mimi cjui ndo naangalia mda huu kwenye net,je wewe nawe umeapply?by mr jackie maduhu 4rm mwanza.ma email is jacskylovebest9@rocketmail.com or cl t 0782475740
asante sana rafk yangu toka nyumban,kuna kitu nimekigundua hapo nyumbani ndo maana ki2 maendeleo yanapenya lakini kwa juhudi hitajiki kweli.maana kuna wapinga maendeleo ambao ni flan na flan ambao serious wanaweza kuzuia maendeleo kwa wengine.elim ilikuja dunian ili kupunguza ukabila na ubaguz...
asante sana rafk yangu toka nyumban,kuna kitu nimekigundua hapo nyumbani ndo maana ki2 maendeleo yanapenya lakini kwa juhudi hitajiki kweli.maana kuna wapinga maendeleo ambao ni flan na flan ambao serious wanaweza kuzuia maendeleo kwa wengine.elim ilikuja dunian ili kupunguza ukabila na ubaguz...
poole sana kijana,najua elim uliyo nayo haikusaidii ikidhivyo pengine,yaan nahisi elim yako unaitumia ku targets word in google tu.nikualike semina kwenye email yangu jacskylovebest9@rocketmail.com naomba usiache maana unaaandika sana kama si kuongea sana.
Habari za huku uganda ni msiba tu ndugu yangu,mi hadi mda cjaamin, kama kweli kanumba hayupo tena juu ya ardhi,nahis kana kwamba anaigiza tu halafu baadae tutakuwa nae tena maishan.ila hatuna jinsi wapendwa.ukifika huku unaweza fikiri kuwa pengine msiba uko uganda.watu wamefunga office zao...
Habari za huku uganda ni msiba tu ndugu yangu,mi hadi mda cjaamin, kama kweli kanumba hayupo tena juu ya ardhi,nahis kana kwamba anaigiza tu halafu baadae tutakuwa nae tena maishan.ila hatuna jinsi wapendwa.ukifika huku unaweza fikiri kuwa pengine msiba uko uganda.watu wamefunga office zao...
Habari za huku kaka ni msiba tu ndugu yangu,yaan ukifika huku unaweza ukadhan msiba uko uganda.ila siamin kama kwel,nahis kama anaigiza tu halafu kesho au keshokutwa ntamuona tena kanumba! Ila yote tumwachie mungu.we uko maeneo gan hom kaka
usijali kaka mambo mazuri hayatak haraka,je wewe unajishughurisha na nin hasa,nitaweka mambo kwa ufupi mda si mrefu.polen na msiba wapendwa.yaan huku uganda utafikir THE GREAT KANUMBA anazikwa kampala,yaan watu kwenye runinga wameso sana eti.
usijali kaka mambo mazuri hayatak haraka,je wewe unajishughurisha na nin hasa,ila kuhusu facbk nitakupatia mda si mrefu.polen na msiba wapendwa.yaan huku uganda utafikir THE GREAT KANUMBA anazikwa kampala,yaan watu kwenye runinga wameso sana eti.
ahsante sana rafik yangu,nawasalim sana huko nyumban.ndiyo! Jibu lako ni zuri lakini? Pamoja na kutungua mpya sawa ila si wote!pengine uwezekano upo kama ni sim ndogondogo,kama like motorola c115,au jamii ya hizo.
Fikiria kwamba suruali ya 5000 ikichanika unaenda kwa fundi sembuse 50,000? Sim...
ahsante sana LUIZ, kabla ya yote kwanza ningependa kukuambia kuwa taalma ya ufundi ni sim/computr au freeqnc transmetion.ni aina moja nzuri sana ambayo inaenda na wakati pia ni moja ya taalma zinazochukua hatua za juu sana hata katika mzunguko wa maisha ya binadam na ukanganyaji wa soko la...
ahsante sana LUIZ, kabla ya yote kwanza ningependa kukuambia kuwa taalma ya ufundi ni sim/computr au freeqnc transmetion.ni aina moja nzuri sana ambayo inaenda na wakati pia ni moja ya taalma zinazochukua hatua za juu sana hata katika mzunguko wa maisha ya binadam na ukanganyaji wa soko la...
ahsante sana rafik yangu,nawasalim sana huko nyumban.
Ndiyo! Jibu lako ni zuri lakini? Pamoja na kutungua mpya sawa ila si wote!pengine uwezekano upo kama ni sim ndogondogo,kama like motorola c115,au jamii ya hizo.fikiria kwamba suruali ya 5000 ikichanika unaenda kwa fundi sembuse 50,000? Sim...
FUNDI SIM/wanaopenda kujifunza kutengeneza sim kwa kiwango cha juu.naitwa jackie maduhu nyumban misasi mwanza.bt now niko nchini uganda kimasomo,niko chuoni newcastlehighsky generation.nachukua ICT sky generation,pamoja na phone diagram solution with soft/hardware tech.napenda sana kuwatangazia...
FUNDI SIM/wanaopenda kujifunza kutengeneza sim kwa kiwango cha juu.
Naitwa Jackie Maduhu nyumban misasi Mwanza. But now niko nchini Uganda kimasomo, niko chuoni newcastlehighsky generation.
Nachukua ICT sky generation, pamoja na phone diagram solution with soft/hardware tech.
Napenda sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.