unatafuta promo ili tujadili ka thread kako eeeh???
ni kwamba we humfahamu magufuli niulize mimi ambae n mkazi wa chato jimboni kwako
mafuguli ni.
1.dikteta
2.hashauriki
3.ni MTU wa kulipa visas waulize wadogo
4.anajiona wa maana kuliko wengne yaaan ana madharau kibao...
kamdanganye demu wako hzo sifa za kijinga.ni kwamba hutaamini baada ya tareh 25atakavyogaragazwa hyo kioara wako
magufuli hana hata sifa moja ya urais labda upiga debe
ni kwamba hyo picha ni ya zamani na hapo unasaka tu buku 7zako upate ujira wa Leo. hakuna tukio kama hill na hai vijana dio wa ukawa. tatzo lenu mmezoea majungu.vijembe na matusi Hanna jipya . lowassa ndiye rais wako mzoga wewe
saasa kama walikuepo wasanii kama akina temba kwa nn msukuma asiende kushangaaa wasanii?
ccm mnatumia mbinu za kijinga na za kizaman kuwahadaaa wananchi
Huu upumbavu na ushenz wako utakucost.ni kwamba polisi na hai mashetani wenu kama mnajidanganya kuwategemea msaahau na tena hatutoki vituoni n kura tutazilinda kwa mujibu wa sheria na sio kwa mujibu wa madc mwaka Huu mtashuhudia kuwa Watz sio wapimbavu na wala sio wajinga kias hcho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.