Search results

  1. NGUGO

    Majina ya Kisukuma

    Nzagabulu Malendenja Ng'wanaSana MlolaSa Nchimani Mchele gwa njingi Manyilizu Bushi bubili Manyilizu Ludamhila Bundala Ludoganya Na gangi mingi duhu Sent from my iPhone using JamiiForums
  2. NGUGO

    Kupiga picha za hivi ni ujanja?

    Wheelbarrow!!! Sent from my iPhone using JamiiForums
  3. NGUGO

    CCM tayari wahonga wabunge sita kutoka UKAWA ili warejee bungeni

    Lisemwalo lipo laja, kama halipo liko njiani laja. Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. NGUGO

    Press Conference ya UKAWA kuhusu Katiba Mpya; tulikotoka, tulipo na tuendako saa 5 leo

    Angalieni kote kunakowaka moto, chanzo kudhurumu haki za watu, siku ikifika hakuna cha nani wala nani!!!!! Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. NGUGO

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Wakristo wanafundishwa kusamehe, lakini ndugu zetu wao wanafundishwa KURIPA kisasi
  6. NGUGO

    Francis Cheka (TZ) vs Phil Williams (US)

    Jamani Cheka vipi huko?
  7. NGUGO

    Ray C ampokea Yesu na kubatizwa

    Hovyooooo! Ninyi hata kuandika ni kutoka kulia kwenda kushoto, ( you go anticlockwise huo ndio ujanja?)
  8. NGUGO

    Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

    Hovyoooooo!!!!!
  9. NGUGO

    Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

    Utumbo mtupu
  10. NGUGO

    Mwigulu achafua hewa bungeni na kuzua miguno

    MWIGULU "MBINGUNI' abadili jina Mbinguni ni kwa Sir God, sio kwa watu kama huyo. Tumwite NGIKULU jina hilo litamfaa maana hata hilo sio lake.
  11. NGUGO

    Mwenyekiti wa CHADEMA, wabunge Lissu, Msigwa, Sugu, Silinde washikiliwa polisi Iringa!

    Hovyoooooooo!!!!! Ninyi mnafanya mhadhara hado saa nne usiku na hamguswi, unaongea nini?
  12. NGUGO

    Kinehe a bhanu mulimo umu?

    Bagosha, leka namhwekeje. Amagunguli gali giki:- SUKUMA - Kaskazini NG'WELI - Magharibi DAKAMA - Kusini KIIYA - Mashariki. Amagunguli genayo lulu humo jifumile ing'anda. Leka nakugemele ho hado, Ulu uyomba Bana Kiiya genayo pye amabaala ga (Maswa) Ntuzu. Ulu wiza (Ng'weli) yeniyo...
  13. NGUGO

    Kinehe a bhanu mulimo umu?

    Banhu, lakagi ukwiba ululimi lwa kubise. Wilaga. Nene Ngalu.
  14. NGUGO

    Maandalizi ya Single ya Muziki wa Jadi:Huyu Msanii kama vile namfananisha!

    Kadako kigondile!!? HATARI HIYO!!!
  15. NGUGO

    Majina ya Kisukuma

    Bushibubili, Mchele gwa Njingi, Bundala, Malendeja, Nkene, Lusoloja, Mlolasa, Bukombe, Mazengo, Shija, Kwangu, Gali Bulolo!!
  16. NGUGO

    Ving'amuzi vya StarTimes ni takataka

    Matatizo ya Kupenda mteremko ndio hiyo, nunua DSTV uachane na scratch.
  17. NGUGO

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Jamani sasa hivi Dunia ni kijiji, ingia kwenye google, Andika Urine remedy, majibu utapata mengi ajabu, je wote hao waongo, tusiwe wavivu kutafiti. Nawakilisha.
  18. NGUGO

    Zanzibar: Padre apigwa Risasi na watu wasiojulikana

    Pafukapo Moshi, ujue..........
  19. NGUGO

    USHAURI WA BURE:Swala Kuhusu Ufugaji wa Mifugo aina yoyote, Uliza hapa utapata Jibu bure

    Asante mkuu, naomba kufahamu jinsi ya kumfuga ndege bata nawakilisha
  20. NGUGO

    Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

    kwenu wana Jamiiforums, naomba kuelemishwa jinsi na taratibu za ufugaji wa BATA Nawakilisha
Back
Top Bottom