Great thnker michango yenu ni muhimu xana juu ya hili suala
Nikwanin hiki chombo kwa upande wakujitolea wanachukua wazalendo wenye miaka 18-23 tu wakati watanzania wengne wenye umri wa kuanzi miaka 23-28 ndo wanamaliza vyuo mbali na wanania ya kujiunga nao pia?je hawafai na kwann?hawachukuliw...
Natanguliza shukrani zangu kwenu wote mtakao nisaidia kwa namna yoyote ile hata kwa mawazo
Nina shahada ya usimamizi wa mitandao na teknologia ya habari(Bachelor of Science Management Information Systems,BSc MIS)msaada please wa kupata kazi
nimatumaini yangu makubwa michango yenu itakuwa ya...
Mie ninamchumba wangu ambae nimedumu nae takribani sasa miaka 5.Tulianza mahusiano mie nikiwa nimemaliza kidato cha sita yeye cha nne,nikaenda chuo kikuu yeye akaenda advance level lakini mahusiano yetu yalikuwa mazuri sana na nilijitahidi kumpatia kila kitu na kumwonyesha penzi la dhati nilipo...
wanajamvi ni lin nafasi za kujiunga na JKT kwa a stashahada(Certificate),stashahada(diploma) na shahada(degree moja na kuendelea) zitatoka???.
mwenye taarifa juu ya hil naomba afunguke kwa kina!!!
hope mawazo chanya yatapatikana juu ya suala hil
thnx all!!!!.
Inavo onekana kumekuwepo na ubaguzi wa kujiunga na jeshi la kujenga taifa katika nchi yetu ya tanzania
Malengo ya Jeshi la kujenga Taifa nikuwaandaa vijana wa tanzania kuwa wazalendo na kuwafundisha uwezo wa kujiajiri na kuajiriwa na vyombo vya ulinzi na usalama lakin vijana walio wengi wa...
Mwenye any information kuhusu JWTZ wenye different professionals kujiunga tunaomba taarifa juu ya hilo kama police wametoa vp?JWTZ imekaaje wana Great thinker hope in getting positive help,
Thanks to any one who will try giving information and not rumors
God be with u all!!!!!!!!!!!!!!
Nafasi za mafunzo ya Jeshi la JKT zimetoka kwa awamu ya pili kwa walio maliza kidato cha sita mwaka 2013 kwa wanao penda kujiunga mnatakiwa kwenda makambi ya JKT popote pale karibu nawe na mnatakiwa kutunza tiketi za usafili ili muweze kurudishiwa nauli zetu hii ni kwa wale waliopata division I...
Nidhahiri kwamba jeshi la wananchi wa tanzania limeacha kuajiri vijana kutoka mikoani(Wilayani pamoja na vijijini) moja kwa moja kujiunga na jeshi hilo.
Instead ina ajiri moja kwa moja kwa usahili unaofanyika kila mwaka ktk vikosi vya JKT ambapo Police,Magereza TANAPA na Usalama wa Taifa nao...
Jamani kumbe Jeshini naako kunaubaguzi eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!wamechukua skuli 24 tu wakaongeza 3 tu zikawa 27 je zingine vp?wana sema bajeti finyo na wakati huohuo wanasema mujibu wa sheria inakuwaje mkangaiko huu?????????????je huo MUJIBU WA SHERIA NI KWA FORM...
Jamani wana Great thinker ni lini? nafasi za kujiunga na JWTZ zinatoka kwa mwaka huu 2013
Tujuzane kwa undani na ukaribu coz we need to join an army plz your information will be of a great thnx if you do xo!!!!!!!!
thnx have good weakend
Se uuuuuuuuuuuu!!!!!!!All Great thinkers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.