Nimeangalia online naona bmw x3 2014 hadi 2016 wanauza rand 250,000 na kuendelea. Naona zipo juu kama Japan au wauzaji wa mitandaoni wanatulangua sana?
Mkuu nna interest na bmw x3 series ya 2014 hadi 2016 hapo. Bei zinaendaje? Makampuni gani yanayouza magari hayo yapo reliable huko. Nataka nijipange mwaka huu nije
Hata toyota ukitaka plug original bei ni hiyo hiyo, engine kama ni synthetic pia kwa toyota bei ni hiyo hiyo. Nna bmw e60 toka 2019 sijawahi kuwa na major breakdown ila magari ya ulaya inabidi upende kusoma na kujua tatizo la gari uzuri forums zipo kibao ila magari ya kijapani forum zimeandikwa...
Mara nyingi gharama za MC hujumuisha na DJ na vyombo vyake, Na hawa hufanya kazi kwa pamoja na washaelewana, wakikutana siku ya tukio ndo zile mambo ya kupishana, MC anaongea na DJ mziki juu. Pia MC hadi wa laki kadhaa wapo usipoweza wale wa bei ghali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.