kiwango cha tatizo kimeongezeka kwa kasi ya jabu...exponentially u may say
mwanzoni ilikuwa ya kujifichaficha... sasa ni wazi kabisa...mchana kweupe....sababu kuna selective enforcement ya sheria
LABDA alipitia zimbabwe kabla hajaenda afrika kusini..halafu hapo zimbabwe akapata mambo matamu...analala usingizi anaiota zimbabwe...ni vigumu kulala usingizi wakati unawasilisha mada!
angeweza kuteleza hapa, tungesema ameteleza kweli...mfano miji mikuu hii hapa...
WEWE uwezo wako wote umeishia kufikiri hapo tu?
ina maana watesaji hata wakiwa wanne,kumi, watano....wakati wanamtesa ,watakuwa wanatajana majina...eeh joseph,eeh abdallah...shika koleo ,mng'oe kucha...tumia kichwa kufikiri
wapo walioanza mapenzi shule ya msingi...pengine hata wewe lakini wanadunda na hawakupata maambukizi
muhimu ni kuangalia umejifunza nini kutokana na suala lililojitokeza.
je, inawezekana ushauri nasaha uliotolewa haukuwa wa kutosheleza? je kituo cha afya cha Mlimani kimezidiwa kazi kipindi hiki...
UELEWA WAKO UMEISHIA HAPO? hakuna tatizo lakini...muhimu kuelimishana
unafahamu kuwa kuna yatima wangapi wanaoishi na virusivya ukimwi wanasoma wapo vyuo kadhaa,colleges and universities? unafahamu kuwa kuna wengine washamaliza na kupata vyeti vyao?
jitahidi kuperuse mambo huku na kule...
je maudhui makubwa yako ni haya hapa? if u read between lines, is this your main theme?
,na pia kuwahamasisha wananchi kuchagua muungano wa mkataba ?
umetumwa na nani? kwa nini utake chadema ikusaidie kwenye hilo?
do u have any evidence...can u mention number? did u check how many died before crisis? during crisis? after crisis? and make a comparative analysis....unfahamu taarifa aliyotoa waziri bungeni na naibu waziri Lucy Nkya wakati akijibu swali bungeni na kusema mgomo haukuwa na athari...
hayo maneno ya chezea ...movie...verse
sana sana neno chezea...ni maneno ambayo hayawezi kuwa ya mtu mtafuta haki au mpigania haki....yanakera hasa ktk serious issues...muda huu hakuna ngonjera wala taarabu...ngonjera zina muda wake
...mushi....really like this/strongly liked your comment as it will enlighten we ppo inside here to what extent we dont want to reactivate or activate our reasoning.
it has been a tradition now that people keep putting blah blah on some serious issues. keep awakening them and sometimes later...
KAMA WEWE NI MTAFUTA HAKI,HUWEZI KUISHIWA HAMU YA KUTAFUTA UKWELI NA KUUPIGANIA VINGINEVYO WEWE UNAFAA KUWA KATIKA KUNDI LILE LA WACHA UPEPO UPITE...
.NA UNAJIHALALISHA KUWA WATZ WA AINA YAKO NI WATU WA MATUKIO TU NA HAMUWEZI KUFUATILIA LOLOTE SABABU NIA YAKO NI KUANGALIA MATUKIO KAMA BURUDANI...
kwa hiyo wewe ni mtu wa matukio. sio analytical? yaani wewe ni kama za mdundiko....ukipita mdundiko, hata kama ulikuwa unapika unaacha na kufuata mdundiko... kama ni kweli taarifa ya ulimboka itasitisha suala la uchomaji makanisa...wewe unapenda yaendelewe kuchomwa? jiulize serikali gani hiyo...
kwa hiyo wewe ni mtu wa matukio. sio analytical? yaani wewe ni kama za mdundiko....ukipita mdundiko, hata kama ulikuwa unapika unaacha na kufuata mdundiko... kama ni kweli taarifa ya ulimboka itasitisha suala la uchomaji makanisa...wewe unapenda yaendelewe kuchomwa? jiulize serikali gani hiyo...
kimya kingi kina mshindo mkuu...unafahamu msemo huu? kufungiwa kwa gazeti la mwanahalisi hakukusababishwa na ukimya wa ulimboka...hata na hivyo kufungiwa ndio kumeonyesha waziwazi jinsi taarifa zile zilivyo za kweli na zimethibitishwa tena na tena na ulimboka. gazeti lilipofungiwa unalosema...
lipi ambalo umeshawahi kulifanyia kazi katika upya wake....mauaji ya mwangosi? taarifa za mwanahalisi ambazo hazikukanushwa?
wewe unataka story mpya uifanyie nini? burudani? ni kama unataka muvi mpya ya james bond 007
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.