Search results

  1. H

    TBS Iko kwa maslahi ya wananch au ya nani?

    Nimefuatilia taarifa ya habari mpaka taarifa za kitaifa zinaisha, sijaona taarifa ya chaguzi zilizofanyika leo katika kata 29 nchini. Je wameona taarifa ya chaguzi hizi si muhimu kwa wasilikilizaji wao ambao ni wananchi wa tanzania walio na vyama na wasio na vyama?
  2. H

    MJUE Lowasa

    Mbona mazuri yake hujayaweka hapa. Ni waziri mkuu pekee aliyewahi kufanya maamuzi yanayoonekana kufanywa na kiongozi wa nchi. Big up EL!!!
  3. H

    LOWASSA kilichomjenga ni kujiuzuru, pale alithubutu, nani kama yeye anaweza kuuacha uwaziri mkuu?

    I strongly agree, he is a man of action with alot of confidence. Hana ngonjela. Kura yangu huwa EL nitampa kwani anifaa kwa wakati huu wa kuweka nidhamu ya utendaji kazi
  4. H

    John Shibuda na mgogoro wa Kauli ya kuisifia CCM; Kauli za wana CHADEMA

    Nafikiri M4C lazima iangaliwe upya, na hasa kuwashirikisha mpaka jikoni hawa watu wanaotokea kwenye magamba kama kina shibuda.
  5. H

    Simbachawene: Toka mpiga debe hadi Naibu waziri

    Big up Simbachawene, tatizo ni cctem corrupt...
  6. H

    Mabadiliko ya cabinet yataondoa uozo huu uliokithiri?

    Nina mashaka sana na mabadiliko yanayokusudiwa ya baraza la mawaziri, je yataondoa uozo huu uliokithiri ndani ya serikali ya JK?
  7. H

    Je, wananchi wanapaswa kuziamini mahakama hasa kwenye kesi za kisiasa?

    Nadhani mahakama ni mhimili ambao hata usipopenda kuamini outcomes ya maamuzi yake bado tunapaswa kuendelea kuziamini, cha msingi tu ni pale tunapoona hatujaridhika na maamuzi husika kwenda the next step. Kimsing bado kuna changamoto nyingi nyingi unapoongelea judiciary independence, kwani the...
Back
Top Bottom