Kwani hii katiba tuliyonayo ndo inaruhusu hawa wabunge waendelee kuwepo bungeni??? Ishu nadhani ni kueshimu utawala wa kisheria ... hiyo katiba mpya ata ikipatikana kama haieshimiwi na wanaoivunja hawachukiliwi hatua apo amna faida yoyote ndugu yangu
Ile changamoto ya machinga kuziba barabara naona imeanza kurudi upya. Leo nimepita mitaa ya Liberty Mwanza hapafai tena kumerudi kama zamani.
Wananchi wanadai kua mgambo wa jiji ni kama wameingia woga na wengine wana mgomo baridi baada ya lile sakata la juzi na namna waziri TAMISEMI...
Habari wana JF, mimi ni kijana umri miaka 30. nina familia mtoto mmoja na nimeajiriwa kazi nzuri tu. Kwa haraka haraka naweza kusema maisha yangu ni mazuri kwa hilo nashukuru Mungu. Kilichonifanya kuandika uzi huu ni tatizo langu ambalo nimekua nalo muda mrefu naweza kusema toka nimezaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.