Ngoja tuwasamehe tatizo wanaume wenyewe ni wa manyara baada ya kuwaza mambbo ya maendeleo mnakaa kudiscuss mwanamke wafikishie ujumbe wenzio nyie wote zeroooo kwanza mna tabia za kizamani za kusimuliana huyo dada akiwa na ngoma je
Jamani huyo baba alimsusa mwanae toka yuko sekondari mpaka mama yake ndio akawa anahangaika nae kumtafutia wa kumpa ada na ninamfaham mtu aliyekuja kumkabidhi kanumba ili amsomeshe sasa kwanini apewe thamani saizi wakati wa uzima hakumjali
Jamani aliyeandika hii mada anataka kuwafurahisha watu tu na kusikiliza maoni yao mwakasege hawezi wala hafikirii na angekuwa anataka nafasi kubwa serikalini angeipata kuliko huo ubunge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.