Kama makampuni yanapewa mikataba ya miaka 200 na viongozi walio katika serikali yako bila we kujua!!!!!!!!!
Hivi hawa wasaidizi wako watakupotosha mpaka lini?,maana hata issue ya Katiba walikudanganya.........PULL THEM OUT,vinginevyo historia itakuhukumu Mzee.
Hivi km CCM wanataka kuidhoofisha CDM hawana njia nyngne ambayo inaleta sense kwa wananchi zaidi ya hii SERIES,maana season 1 ilisha pale mahakama ilipomwachia huru Lwakatare,wakaona hutujaridhka wakaamua kuendelea na season 2 kwa kumkamata tena Jamaa.
Only in TZ!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.