Mpendwa sana askofu mstaafu raymound mwanyika wa jimbo katoliki njombe amefariki dunia! Mwenyezi mungu ampkokee kwake na amuheasabie mema yake yote na kumsamehe madhaifu yake.
daa mtake msitake huy jamaa ni great! bila shaka wazungu wameelewa kuwa tz bado kuna vichwa maana walizoea kuyaona magamba yakitabasamu bila point! bravo sana DR SLAA WA UKWELI!!!
Inafaa sana kuishi bila kujitazama kuwa wewe ni bora zaidi kwa kuwa umeokoka! Suala hapa so kuokoka ama kutookoka mapenzi hayana hilo mpendwa wangu. Nakushauri kuwa msikivu kwa sauti ya mungu anayetuita sote kwake, mamoja umeokoka au laa! Kuokoka si kuwa ephata ama kuwa mkatoliki hata muislamu...
wewe uliyeanzisha thread hii, yafaa sana uweke ukweli wa mambo kama ulivyo!
kama watu mliowakodi kwa kuwapa pesa za mafuta ya pikipiki na magari ili waongeze uwingi wa watu, walifikia maelfu, basi haujakosea sana!
jambo hili kama lina ukweli linawagawa watanzania hasa wale wenye upeo mdogo. kwa namna nyingine wale wanaosema kuwa chadema ni chama cha kikikristo watapata mwanya mkubwa na vielelezo vitaongezeka.
ukweli ni kwamba CHADEMA ipo hivyo ilivyo kwa kuwa viongozi wake wanamwogopa mungu wa kweli...
hi! do not be discouraged by less/little thinking people! there is a very great number of medical doctors who did not score even that what u av scored. our universities have such people, Buganda for instance has a course 4 the people of ur likely performance and they become qualified and needed...
wataalamu wa falsafa wanasema, "knowledge is not virtue" kienyeji twaweza sema, mtu anaweza kuwa na maarifa ya mambo mema mengi, lakini akashindwa kufanya hata moja ya hayo mema anayofahamu.
ukirejea muvi za kanumba, hata kama alikuwa anaigiza, lakini unaweza kujifunza kuwa alikuwa akijua mambo...
wataalamu wanasema, "knowledge is not virtue" maana yake kienyeji, unaweza kuwa na maarifa mengi ya mambo mema ila ukashindwa kuyafanya hayo unayoyafahamu.
naomba msaada ndugu: (kwa yeyote atakayesoma) nifanye nini ili niweze kuanzisha thread katika jamii forum? shukrani kwa yeyote atakayetoa msaada. waweza kunisaidia kupitia adress yangu ya jamii forum, au mligojohnbosco@yahoo.com au face book: John Bosco Mligo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.