Kaka Maggid hongera kwa kutuletea hii. Nikuombe upitie pia taarifa aliyoitoa waziri wetu wa nishati....alipokuwa akilisemea sakata la gesi ya Mtwara,naona kama naye alitumia matusi kama hayo au yanayofanana na hayo kwa wansmchi wa Lindi na Mtwara;!!Au ndo "makuadi wa soko huria?
Nauona mwisho wa utawala huu mbovu umekaribia. Wanaojua kusoma alama za nyakati wameshafanya maamuzi, tieni saini wabunge wa CCM tukamilishe kazi tuliyotumwa na wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.