CDM ni chama makini, chenye kupanga na kutafakari nani anaweza vaa viatu vya Dr. Slaa. Nina imani jina litakalotolewa litakuwa ni mwanzo wa mapambana ya kuendelea kuimarisha chama.
Maji yamewafika shingoni sasa wanafunuliwa mchana kweupe ndani ya nafsi zao wanachokifikiri na kukipanda. The anticipation of death is worse than death itself...
CCM hamna tofaiti na magaidi, vikundi kama Alshabab, Bokoharam na wengineo sababu hu ujumbe mliupanga ni wabuguzi na mnajulikana. Wanasema maana ya kifo ni ngumu kuliko kifo chenyewe...
Huyu ndio Rais wa Mioyo ya watu. Watu wanakimbilia kutangaza safari zao za ujinga, wenye akili kama Dr. anaendelea na kuimarisha chama kila corner. Go Dr. wewe mbele, sisi nyuma yako.
Molemo
Huyu ndio Rais wa Mioyo ya watu. Watu wanakimbilia kutangaza safari zao za ujinga, wenye akili kama Dr. anaendelea na kuimarisha chama kila corner. Go Dr. wewe mbele, sisi nyuma yako.
Huo muda anaopeteza ningekuwa yeye ningetafuta pahali nivute bata. Watanzania wa sasa sio wa miaka 5 au 10 iliyoisha. Mnaiba, mnakuja kutudanganya hapa. Hamna ----- safari mtasoma alama, wakati ndio huu wakupiga mstari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.