Mhe Nyalandu ameongea vizuri sana alipohojiwa na Sky News .. a very good plea to all people around the world to join effort initiated by President of Tanzania to save the endangers species.
good reasoning.
"Binafsi nimemwona wa ajabu kwasababu yeye kama Mtumishi wa serikali ni wajibu wake kusisitiza hilo muda wote, siyo kipindi cha Mkutano wa ccm.
Ana maana baada ya mkutano kuisha madereva hao warudie kwenye enzi zao za vurugu utapeli na usumbufu kwa abiria!"
TRA inafanya juhudi gani kukabiliana na wafanyabiashara wenye vitabu viwili viwili? Pia inakuwaje wafanyabiashara wanakuwa na uwezo wa kukuuzia risiti peke yake (mfano ukiwa unataka uprove ofisini kuwa ulinunua kitu fulani unaweza tu ukaenda kwa mfanyabiashara na akakuuzia risiti empty yenye tin...
Sijawahi ona maswali mabovu kama ya kipima joto. Binafsi nafikiria wanaojibu maswali ya kipima joto kwa njia ya message ni wafanyakazi wa ITV peke yao, haiingii akilini kama kuna mwananchi wa kawaida anaweza akapoteza fedha yake kwa ajili ya upuuzi wao. Are they really serious? I don't think so...
Nimependa baadhi ya watu wachapa kazi wamo kwenye list .. Tunawaombea muweze kufanya kazi nzuri. Siwajui wote ila kwa ninao wajua waliopo kwenye list, Safi.
Nadhani wanazimerge kurahisisha ufuatiliaji wa mada zilizosawa. Ukifungua uzi just remember its time of postage, then go to the last page au last but one utaipata ile mpya ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.