Ni jambo la kushangaza kuona magazeti mengi yakimzungumzia mama huyu kama mtu anaepewa nfasi kubwa ya kuukwaa uwaziri mkuu.Kiukweli mama huyu ukiwauliza watanzania walio wengi amewafanyia nini cha kukumbukwa;jibu litakuwa ni HAKUNA.Tabia hii ya kuwapigia watu upatu sio nzuri kwani wakati...
some people do hate bb SIMPLY BECAUSE THEY HAVE LITTLE KNOWLEAG ON HOW N WHAT TO BE USED WIT IT CONTRALY TO THIS SOME OF THEM THEY CAN NOT AFFORD THE COST TO RUN IT
nimekuwa nikiangalia mada mbali mbali kuhusu usomaji wa vitabu.naamini kama msomi wa chuo kikuu mwaka wa tatu hawezi andika kisomi hili ni jibu tosha ni wakati wa kuwaelekeza au kufundisha na kuwapa kazi zitakazowafaya wasome.hii itakuwa na faida nyingi kwa mtu mmojmmoja na jamii kwa ujumla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.