Inabidi kama mwanaume uvunje ukimya, umkalishe chini mkeo mgawane majukumu, siyo wewe ubebe majukumu yote ya familia, Sasa yeye unaishi naye ili nini? Ni ngono tu?
Amekuja kuishi nawe ili kwa pamoja mshirikiane kujenga familia yeye ni msaidizi wako?
Haya maisha si yakuegemeana au kukomoana.
Wanawake ni wabinafsi, wanaishi nasi kwa mfumo wa CHANGU changu na CHAKO changu.
Pesa yake ni kwaajili ya kusaidia ndugu na jamaa zake tu ili wampongeze na kumsifu tu. Huku mwanaume ukipigika kuendesha familia.
Ndio maana sikuhizi wanawake wanamiliki pesa ndefu kuliko wanaume. Kwasababu pesa...
Huko mtu akifa kwa malaria au ugonjwa wowote wanashangaa, wamezoea vifo vyao ni kwa kuchinjwa au kuchomwa moto au risasi ilimradi umeuawa na si kifo cha kawaida
Hiyo ni Laana, maana ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga.
Yaani anachopitia huyu bwana mdogo ni ile slogan ya UTAPATA TAABU SAANA! Ikinanakshiwa na KUFA HUFI ILA CHA MOTO UTAKIONA.
Lakini Akili Sina kuna fursa pia naziona kupitia hii story, kwakuwa inavuta hisia na kusisimua, inaweza ikanunuliwa na vituo vya radio na kusimuliwa kwenye kipindi kama...
Jifunze kuwa na kiasi, hata upendo uwe kwa kiasi.
Halafu hebu badili msitizamo wako kuhusu K.
Kwa mwanamke K ni chakula maalumu apewacho mwanaume yoyote amfurahishaye na kupendezwa naye, humpa kama fadhila, shukrani au pongezi.
Lakini wanaume tunaamini K ni chakula maalumu anachostahili...
Inazuia kichwa kupata moto kwa haraka wakati wa tendo hivyo inakusaidia kuchelewa kumwaga.
Kwasababu ili umwage ni kichwa kipate moto wa kutosha kuruhusu manii kutoka.
Kilichokusibu ni hamaki kwamba hauamini kama leo mtoto ndo katimba ghetto, pili ukaingiza miss kwamba je nitamuweza kweli? Presha ikapanda joto la mwili nalo likapanda kuupimia mpini hofu imetawala ngoma ikaenda arijojo. Ukapaniki zaidi na haiwezi kuamka tena, ilikuhitaji ulale usingizi kabisa...
Yeye amesema hataki kuongeza amplifier, kwa maana hiyo mziki wake hauwezi kuwa mkubwa labda anunue powered subwoofer enclosure kwa ajili ya bass. Kinyume na hapo zitatumika speaker za kawaida ambazo mziki wake ni wa kawaida hauna bass nzito.
Kwa specifications za hiyo radio, ni kwamba huwezi kuunganisha na speaker kubwa za bass na ukapata matokeo chanya, badala yake speaker pekee zakuweza kuunganisha ni za mid, nikimaanisha zila za mlangoni au za kwenye dashboard au zile za nyuma. Ambapo eidha ziwe zile za kuja na gari (OEM) au za...
Huyo hana lolote la kubadilisha, tatizo ni ccm sio kiongozi wa ccm. Yeye kama viongozi wengine waliotangulia bado ataendelea kuendeshwa kwa remote na wanaojiita wazee wa chama. hawezi kuwa na maamuzi yake bila wazee kukubali.
Unategemea mabadiliko gani ktk mfumo wa serikali ile hali wanamtandao...
Tatizo EL anashikiwa akili na washauri wake kama sio marafiki zake, yeye mwenyewe hawezi kujieleza. na wapambe wake ndo wamekuwa mstari wa mbele kututafunia maneno, kumsemea, kumtetea kana kwamba yeye ni bubu.
Ninamashaka na utawala wake utakosa maamuzi magumu kama anavyojinadi. kutokana na...
Usitegemee madiliko yoyote kupitia low as a. Aongeacho jukwaani kama hakipo kwenye ilani ya chama chake ujue hakuna atakachotenda. Atakuwa pale ikulu kutimiza kilichoandikwa kwenye ilani ya chama chake.
Rejea munkari wa kikwete mwaka wa kwanza alipoingia madarakani, mafisadi walipata joto ya...
Hakuna wa kuaminiwa ndani ya ccm kwasababu mwisho wa siku yatamkwayo jukwaani yanaishia jukwaani, kama hayapo kwenye ilani ya ccm maana yake hayatatimizwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.