Huyu spika vipi, mbona mpaka sasa Lissu anatibiwa kwa michango ya wananchi! Hizo pesa za walipa kodi walizikatalia basi waache kuleta kauli za kukatisha tamaa ya watu kucjanga.
Hii wala siyo kiki ni ishara mbaya. Walio fika Congo DR, Rwanda, Burundi na Uganda, hii ndiyo staili ya magari ya askari wao. kwa sababau ya usalama MDOGO wa nchi hizo, askari hukaa kwa mtindo wa kuelekeza mitutu kwa wananchi.
Hii ni dalili mbaya.
Hii wala siyo kiki ni ishara mbaya. Walio fika Congo DR, Rwanda, Burundi na Uganda, hii ndiyo staili ya magari ya askari wao. kwa sababau ya usalama MDOGO wa nchi hizo, askari hukaa kwa mtindo wa kuelekeza mitutu kwa wananchi.
Hii ni dalili mbaya.
Asante Mungu kwa rehema na NEEMA yako, kwa kuwa umenena kuwa ingawa wanao watapita katika bonde LA mauti, lakini uweza wako utasimama. Na I we hivyo kwa kwa mtumwa wako Lissu. Naomba Umwanadalie mafanikio makubwa mbele ya watesi wake. Amin
Hivi mbona CCM munapenda kuwafanya watu wote wajinga! Yule Mzee nimeona video Yake anasema kikubwa alichofanya ni 'connection' wale wenye ndege anafanya nao biashara. Polepole anasema yule Mzee alitoa msaada wa ndege!!
Siasa za kufanya watu wengine mazuzu hazina nafasi katika karne hii. CCM...
Maneno matupu ya kuitetea Serikali hayataiondolea lawama na tuhuma hizi. Vitendo pekee yaani kupatikana kwa wahusika wa tukio hili ndiyo kutaondoa wingu hili.
Get well soon Man of the People, Lissu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.