Hiyo riba ya 17% ni kwa mwaka au nusu mwaka?..... hapo kwenye hizo %ndio watu wanapokuja kujutia...calculation za riba kama unalipa kwa mwaka ni tofauti na miaka 2,3,4...sikwambii hiyo miaka 7.
US President Donald Trump has taken to Twitter to
clarify that he never specified when the US would
conduct an attack on Syria.
“Never said when an attack on Syria would take place,”
Trump wrote on Thursday. “Could be very soon or not so
soon at all!”
Trump also credited his administration with...
Vita usikie tu lakini, wanaoathiriwa ni raia masikini wasio na hatia ..
Any US missiles fired at Syria will be shot down, launch sites targeted – Russian envoy to Lebanon
Any US missiles fired at Syria will be shot down, launch sites targeted – Russian envoy to Lebanon
Juma dogan(Msamaria mwema), Abdul Nondo(Mtekwaji) na Kumbusho downson(Rafiki wa Msamaria mwema na Mtekwaji) ni wamoja, kimsingi wameigiza pamoja katika nafasi tofauti tofauti.
mkuu na mimi nina raum new model, hilo tatizo hunitokea pindi maji yakiingia ndani ya milango, sensor inashindwa kusoma, nilipogungua hivyo nakuwa makini ninapoipeleka kuoshwa nahakikisha milango imefungwa vizuri anapotumia ile mashine ya pressure.
pia, kipindi cha mvua kufungua ile milango...
Yericko mpotoshaji mkuu, sio kweli kwamba wenye peza zaidi ya 1.5M hawatalipwa bali utaratibu wao wa malipo ni tofauti na wale wenye akiba 1.5M au chininya hapo.
Nitarudi kukujibu kwa ufasaha, ila niseme tu kuwa huna hekima na heshima kwa wakubwa na watawala. JPM alichaguliwa na Wananchi sio CCM kama unavyotaka kuaminisha watu, kama wananchi wangemtaka EL wangempigia kura. Kwa sasa JPM anasafisha nchi iliyokuwa na makorokoro mengi. Mengi uloyoyasema ni...
Ukiweka chuki binafsi pembeni, Mambosasa yupo sahihi kwa kiasi fulani, nini lengo la yule kijana kupost picha Facebook wakati kama kiongozi wa DARUSO alikuwa na nafasi ya kufikisha suala kwenye uongozi wa wanafunzi na kisha uongozi wa chuo? kimsingi lengo lake lilikuwa kuzua hofu na taharuki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.