kwa hili la viroba aisee watatukamata wengi, ila uzuri tumekuja na plan B ya kuvinywa hatutafyonza bali tuta....... watashangaa tunayumba tu, sifa ni kulewa sio kunywa, bia moja sawa na viroba 4 lazima vienziwe.
biblia imatafsiri nyingi, muombe Mungu uisome uielewe kiundani si juu kwa juu, ila mimi uwa nakipenda kile cha mpeni maskini kileo hakasahau shida zake, kwenye kiingereza inasema vizuri sana, nashangaa wanataka kufungia viroba wakati ni hard drinks.
kuna movie inaitwa addicted nimetoka kuiangalia punde, jamaa wanjua kukiss hadi mtazamaji una feel something, wako vizuri, sasa kutana na mbongo hilo domo anavyokupa, wakati wenzao wanacheza na lips. kisses za kibongo ni kero bora ugegede tu mbele kwa mbele.
mwenye ile clip ya shekhe kipozeo anisaidie, maana yeye nafsi yake inapenda wale wenye nyama za allah, kila mtu na chake hapo ndio kipenda roho inapotokea. ila mimi penda sana ma housing makubwa shuntu lake la maana, wembamba peleka huko kwenye mamiss na models.
hiko kitu uwa wanasema sana, hata kama ni tasnia ya ukachero kuwa kutupoteza katika masuala ya msingi, ila angalia namna anachoandika, angekuwa anataka kuweka jambo sawa angefunguka ni namna gani jambo hili linaleta ukakasi. na sidhani mtu kama huyo na uandishi wake anaweza kuwa kachero.
hatare sana shekhe, maana hamna namna, na walivyokuwa mande.zi nao wanatoa zero watu wanazungusha halafu wanaendelea kuchana tu makaratasi. Mungu atusaidie sana.
afanye maamuzi mwenyewe miaka 40? hana mtoto wala mume? akifika 45 injini itaisha nguvu, kuna watoto wa 20 wanakuja speed hao, na ukifanya mchezo ndio basi tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.