Binafsi, ninatumia kufundisha na kusomesha kama walivyoeleza wataalamu wa Kiswahili wa huko TBC.
Nikirudi kwenye suali lako sasa, ninakumbuka kusema "leo tumesomeshwa uadilifu" kwa mfano, nilipokuwa shule ya msingi na sekondari yake, sikuwa nikitumia nimejifunza.
Kwa ufahamu wangu, kujifunza...
Huu msemo au sijui niite methali, Bwana Ruta. nimewahi kuwasikia wahenga wakiutumia kwa kurejela wahusika wawili tu, "Mla ndizi [mtupa maganda] na mtupiwa maganda"
Au huu msemo wa leo wewe ndio "original source"?
*Tupo katika kuelimishana lugha ya taifa tu
Mwana linamaana ya mtoto, haijalishi kama ni wa kiume au wa kike.
Kamusi la Kiswahili linaainisha hivyo.
Kimsingi mwana linahistoria ndefu ya kutumika kwenye majina ya watoto wa kike kama Mwanaasha, Mwanamtama,Mwanakheri,Mwanaidi, Mwantatu, na kadhalika na kadhalika
Mtu anaekula ndizi ndie huwa na maganda ambayo anaweza kuyatupa. Kwa hiyo mla ndizi ndo mtupa maganda. Huyu husahau kuwa alikula na kutupa maganda.
Anaetupiwa maganda ndie hasahau kwa sababu ganda hilo alilotupiwa huenda limemkwaza kwa kumtofoa jicho na kumpa chongo, kwa kuvunjika mguu baada ya...
Side effects ni pamoja na :-
1. Kushindwa kujitambua iwapo utalewa kupindukia
2. Madhara kwa ini iwapo utakunywa kwa kiwango kikubwa kwa kipindi cha muda mrefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.