Search results

  1. K

    Plot4Sale Viwanja vitatu pamoja vinauzwa (6193 SQM) Morogoro

    Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro. Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini, ukiwa unaelekea Dodoma. Hilo eneo linajulikana kama Nguvu Kazi. Baadhi ya Majirani wameshajenga...
  2. K

    Jambo Jema kutoka Afisa yoyote wa Polisi..

    Habari za waungwana. Pamoja na kuwa kuna msemo kuwa samaki mmoja akioza basi wote wameoza, inaweza ikawa tofauti. Naomba kuuliza je, kuna wakati umekutana na afisa/askari wa polisi akakutendea kwa utu, heshima na huruma? Kuna mifano mingi, ikiwemo kuwapa chakula mahabusu ambao huwa hawajaletwa...
  3. K

    Kwaheri Pastor Zephaniah Ryoba

    Habari wanajukwaa Kwa wale ambao wamewahi kusoma SUA, Mzumbe na vyuo jirani vya Morogoro sana sana miaka ya kuanzia 2000 na kama umekuwa mfuatiliaji wa mambo ya kiroho basi kwa namna moja ama nyingine unaweza kuwa umewahi kukutana au kumsikia huyu Mchungaji. Alikuwa ana kanisa pale keepleft ya...
  4. K

    Vitalis Maembe ni hazina, mashairi yake Yana fikirisha

    Habari za usiku. Huu wimbo wa Vitalis Maembe umenichekesha baadae ukanifikirisha sana. Kaisari tumempa chake na vyetu anachukua... Huyu kijana ni hazina sana, mashairi yake yanafikirisha zaidi yanabiridisha
  5. K

    Biashara katika Jiji la Copenhagen na miji ya jirani

    Habari za leo waungwana. Naomba kuuliza, mtu akiwa na mtaji wa DKK 150,000 anaweza kufanya biashara gani katika jiji la Copenhagen au katika miji ya pembeni katika nchi ya Denmark? Asante
  6. K

    Ubora wa Prado 5VZ na 3RZ kwa safari ndefu

    Habari waungwana Naomba msaada kwa mtu aliyewahi kutumia Prado yenye engine 5VZ na 3RZ kwa safari za mbali kama Dar kwenda Mwanza/Kyela/Mpanda Ipi ni nzuri na kwa nini? Asante
  7. K

    Nikifikiria watumishi hewa sipati majibu

    Habari wakuu, Kila nikifikiria hili swala la watumishi hewa huwa sipati majibu labda waungwana mtanisaidia. Mshahara hewa, nafikiri kama ilivyo mishahara mingine, hupitia makato yote kama PAYE, hifadhi ya jamii (PSPF, NSSF n.k), Bima ya Afya, Vyama vya wafanyakazi, na mengineyo kulingana na...
Back
Top Bottom