Leo viongozi waandamizi wa chadema Dr Slaa,Mnyika,Mbowe na Lema wametangaza kufuatiliwa kwa madhumuni ya kuuwawa na wanaoamiwa kuwa ni usalama wa Taifa kwa madai wako nyuma ya mgomo wa madaktari.Kama wameweza kwa viongozi hawa basi ni dhahiri serikali ilitumia mbinu hii hii kumwondosha duniani...
Mh: Kwanza nakufagilia kwa msimamo na uwezo wako. Myika nakushauri kabla ya kuwasilisha ushahidi wa uhusika wa Nchemba kwenye kashfa ya EPA,kwanza mwambie spika aruhusu ushahidi uliowasilishwa na LEMA kuhusu vurugu za Arusha usomwe na ujadiliwe kwanza bungeni.
M4C Haizuiliki hata wakiomba wanajeshi marekani! CDM watafute kijana anayekubalika achukue hilo jimbo kilainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kweli CDM imeanza kwa kuajiri vijana!
Ama kweli kama kuna mizoga ambayo hata fisi hawezi kunusa harufu ni huyu(HINGI) aliyengwa hela za ufisadi kutetea ufusadi.Naamini anachoongea kinatoka mdomoni si moyoni. POLE MZOGA
Inawezekana wakakombolewa kwani hata Igunga ilikuwa ngome ya Magamba lakini kama si uchakachuaji ilikuwa tuokomboe kwenye uchaguzi mdogo. Mie si mgeni wa maeneo hayo kinachotakiwa CDM wapitishe jina la mtu anayekubalika na watu na wawe na mpango wa muda mrefu wa kufungua matawi na kuimarisha...
Waziri wa Ujenzi Ndugu John Pombe Magufuli akihojiwa na waandishi kuhusu kutumia siasa chafu za kibaguzi kwenye kampeni mbalimbali kukibeba CCM alikwepa kujibu hoja ya dhambi yake na kumsukumia waziri mkuu Mizengo Pinda baada ya waziri mkuu kuulizwa kwenye maswali ya hapo kwa papo bungeni...
Katika maadhimisho ya Ijumaa kuu Askofu Mkuu kanisa Katholiki Jimbo la Arusha Josephat Lebulu alisema"...Matumizi ya mabavu ambayo hufanya makundi ya watu kukaa kwa siri na kupanga mbinu za kumwangamiza mtu asiye na hatia na wakati mwingine hata kuhonga mahakama zipotoshe hukumu dhidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.