Search results

  1. M

    Bado nalia na Kamati ya Usajili ya Simba, kushinda michezo ya kimataifa kusitusahaulishe

    SSC hatumtegemei mchezaji mmoja kwenye namba yoyote, hasa kwenye kupata matokeo, zaidi kufunga.
  2. M

    Wana JF mimi ni mchawi

    Mchawi hujitangaza kwa vitendo na si maneno.
  3. M

    Unamkumbuka nani hapa? Na ulikuwa wapi kipindi cha wakali hawa

    Ndio tunaweza, tukitukea kwenye siasa za ubaguzi wa rangi
  4. M

    TUPO SALAMA? Mwili wakutwa ufukweni Kawe jijini Dar ndani ya kiroba

    Ndio ni sirikali kwani hujui? Dhamana ya uhai na usalama was RAIA in juu ya wenye mamlaka juu ya raia
  5. M

    EXCLUSIVE UPDATES: Uchaguzi Mkuu Kenya Agosti 8, 2017

    Hongera waKenya kwa uchaguzi mzuri msikubali vurugu na mauaji kwa faida ya wanasiasa wachache
  6. M

    Mamba akirudisha mwili wa mtu aliyemuua kwa amri ya mganga

    Huyo mamba ni wa mganga ndio maana akatii amri.
  7. M

    Ahmed Rajab: Kutawaliwa na dikteta mwenye vichwa zaidi ya kimoja

    Udikteta halisi na Udikteta uchara vimechanganyika pamoja.
  8. M

    Sababu tano(5) kwanini unapata pesa lakini huna maendeleo

    Nilichojifunza ni kuwa natakiwa kuaBAHILI na kuzingatia malengo niliyojiwekea.
  9. M

    TANZIA: Kifo cha mwanaJamiiForums mwenzetu Ibra87, mtunzi wa riwaya inayopendwa "Nitakupata tu"

    Maneno haya yameniliza hasa pale alipozungumzia wazazi wake, watoto na mke mtarajiwa. Allah akupeni subra katika kipindi hiki kigumu. MAISHA NDIVYO YALIVYO HAKUNA WA KUBAKIA MILELE. Allah akupe kauli thabit Ibra.
  10. M

    Abuse of office over ‘money laundering charges’ by prosecution machinery in Tanzania

    kipi kinakufanya useme wanalitumia kukomoa wakati vielelezo vya utakatishaji fedha vinatolewa mahakamani?
  11. M

    Abuse of office over ‘money laundering charges’ by prosecution machinery in Tanzania

    nawe Unapinga ujinga kwa vile system is against you interests! Cc. jingalao jingalao
  12. M

    Maadili ya fani mbali mbali -tukumbushane , tuelimishane na tuulizane

    Siasa iko huru na Maadili ila kila jamii inajiwekea kanuni ili kulinda Maadili ya kikatiba ya Nchi husika.
  13. M

    TBC Kazi yenu nini?

    Ni aibu sana.
  14. M

    Nimemkumbuka mkarimu wa Kipemba,aliokota vyeti vyangu na kunirudishia bila hata kupokea shilingi

    Si kwa idadi fulani ya watu bali kwa maisha yote siku zote fanya hivyo.
  15. M

    X man anataka nimsimamie biashara zake

    Huyo ametambua uwezo wako katika biashara na anakuamini ndio sababu ya kukupatia nafasi hiyo hivyo usimuangushe, ila kama uko busy na mambo yako mengine na mtarajiwa wako wa sasa basi mueleze vizuri kwamba hutoweza mfanyia kazi yake.
  16. M

    Samatta Usikate Tamaa, Wewe ni Wa Kimataifa Kweli!!

    sio kwa mfano bali ni hakika.
  17. M

    Wanaume, sio vizuri kudhalilisha wanawake waliovaa nguo fupi kwakuwa si mwanamke wako

    naona ajabu watu wanatetea mporomokowa maadili katika uvaaji, kesho utasikia mtu huyo huyo analalama ati watu wamekuwa hawana maadili wamekuwa kama wanyama, mwanzo wake ni huu wa uvaaji m-bovu.
Back
Top Bottom