its possible,mie wangu nilimpata facebook tumewasiliana for 2 years akarudi Tz ni mtanzania actually tukaendelea na sasa tupo kwenye vikao vya harusi tarehe 7th December harusi yetu na tunapendana sana.Na pi my friend alikutana na mtu hapa Jf na sasa ni mume na mke tayari.
Naamini mpenz anapatikana sehemu yoyote iwe kanisani ,mtandaoni,msikitini,kazini ,chuo etc ni vile kujitambua wewe mwenyewe nini unataka na kuwa makini,nina rafiki yangu wa kike alikutana na mwanaume fb na hawakuwa wanajuana yule mwanaume alikuwa anakaa nje ya tz,walianza kuchat kama marafiki...
usijilazimishe kwa sababu ya kumridhisha mtu hata kama unampenda vuta subira ikifika muda muafaka wala hautakaa uombe ushauri utajikuta mwenyewe unataka mfunge ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.