Search results

  1. Dogo1

    Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

    Unajua Unajua JF imeingiliwa na wasiokuwa na uwezo wa kufanya study kabla ya kukimbilia kwenye keyboards. JF inapoteza its status of being a forum for great thinkers
  2. Dogo1

    Chuki dhidi ya Rais Samia ni kwasababu ni mwanamke

    Na utaendelea kupigika tu, hadi hapo atakapomaliza muda wa kuiongoza nchi hii
  3. Dogo1

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Kama shetani alituelewa kwa kumrudisha yule shetani aliyetangulia mbele ya haki, basi atatuelewa tu akirudishwa huyu mrithi wake anayeupiga mwingi
  4. Dogo1

    Kwanini watu wa hali ya chini wanamchukia sana Rais Samia?!

    Ki Kimsingi mtu wa aina yako unapaswa ukatwe vipande vipande then mbwa uwe chakula chao
  5. Dogo1

    Genge la mwendazake hawaamini Samia Suluhu angefika hapo alipo wana chuki balaa

    Tupia takwimu hapa kuthibitisha hoja yako
  6. Dogo1

    Genge la mwendazake hawaamini Samia Suluhu angefika hapo alipo wana chuki balaa

    Kwa kweli wanapata tabu sanaaa, good thing is there is no possibility of having a president from sukuma gang in the near future!
  7. Dogo1

    Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

    Jibu Mtapata tabu sana kwa sababu uwezekano wa kupata rais from sukuma gang in the near future haupo kabisa. Endeleeni kuweweseka
  8. Dogo1

    Kiingereza cha Rais Samia

    Isiwe tabu, nenda kachukue nafasi yake uweke mambo kama unavyotaka wewe.
  9. Dogo1

    Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

    Usisahau kujiuliza katika kipindi cha miaka 5 ni watanzania wangapi wasiokua na hatia walifia kwenye utawala wake bila hatia, wangapi wamepotea hadi leo hawajaonekana, wangapi walionewa bila sababu, wangapi walipoteza mali zao kibabe kwenye utawala wake. Sasa wewe nadhani ushabiki wako...
  10. Dogo1

    Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

    Hayo maandiko yameandikwa na kiumbe kama Samia, hayana madhara yoyote
  11. Dogo1

    Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

    🤣🤣🤣 sasa yule mshamba angeweza kwenda nchi gani, Samia ni level nyengine hata kabla ya kuwa rais, waulize wanaomjua
  12. Dogo1

    Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

    Kwenye utawala wa sheria tuhuma haimzuii mtuhumiwa kupumua, ushahidi unahitajika kumshughulikia kisheria vinginevyo utaumia rohoni kwa kusubiri matokeo unayoyafikiria ambayo hayatatokea
  13. Dogo1

    Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

    Unajua kuna watu hapa JF wanadhani mambo ya mahusiano ya kimataifa yanaendeshwa kama wanavyofikiria wao. Huyu mama kwenye diplomasia ya uchumi amefaulu sana kwa mazingira ya sasa
  14. Dogo1

    Je, huyu Rais wetu wa sasa ni Vasco Da Gama mwingine? Ziara za nje zimekuwa nyingi sana kama enzi za Awamu ya Nne

    Una elimu ya kiwango gani na hapa JF umejiunga mwaka gani?
  15. Dogo1

    Natafuta Audio Clip ya zaidi ya Dk 5 ambayo Rais Samia anazungumza Kiingereza

    Msenge Anaeamini JPM alikua na akili, na yeye hana akili
Back
Top Bottom