Jamani mbona CCM wanavichwa vibovu? Wanalazimisha sera yao mbovu ikubalike ya serikali 2, kwa sasa watu weng wameelimika wanajua kuchambua mambo wanache fikira za Nyerere wakati wake yeye alikuwa ndo msomi miongoni wa wajinga wengi, ila sasa dunia imebadilika. Ndugu za wanaCCM hiyo sera yenu...
Na mawaziri wawe si wabunge. Wabunge wabaki wasiasa tu si kuongoza wizara asiona taaluma kisa anatoka chama tawala. Rais apewe uwezo wa kuchagua mawaziri nje ya wabunge wenye taaluma husika ila hao wabunge waisimamie sirikali. Sio wewe mbunge hapohapo unaiongoza sirikali. Je utaihoji serikali...
Chintu: mbona unalala usingizi usio na hata jonzi ila bado hujachelewa jua halijatoka. Mim nashangaa sisi watanganyika hatuna katiba, bendera wala serikali ya kwe2, hii nch sijui ya namna gani? Tuwape tu zanzibar uhuru wao wa kujiongoza kama nchi huru itambulike kimataifa, si kuwakandamiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.