Katika sekta ya ujenzi kuna teknolojia za kisasa zenye ubora na bei nafuu. Ningependa kujua toka kwenu wadau ambao wako sekta ya ujenzi au waliojenga hivi karibuni kuhusu aina ya milango ambayo inayoweza kutumika kwenye nyumba za kuishi (residential house). Wapi ninaweza kupata milango mizuri...
Mimi na jamaa yangu wa karibu tumenunua simu za aina ya Samsung Galaxy S III na Galaxy S Duos. Galaxy SIII imewekwa chip ya Vodacom na Du
os chip ya Tigo.
Wadau ninaomba namna ya ku-configure ili tuweze kupata huduma ya Internet kupitia simu hizi. Ahsanteni.
Mbunge wa Kigamboni ameitisha mkutano wa wananchi kuhusu Mji Mpya wa Kigamboni leo Jumapili saa tisa mchana kwenye uwanja Wa Machava. Ni vizuri ukashiriki ili kujua nini kinaendelea.
MacBook sijaitumia kwa muda mrefu sasa. Majuzi niliicharge na kujaribu kuiwasha bila mafanikio. Je tuna authorized dealer wa Apple ambaye niwaweza kumpelekea ku-troubleshoot? Nitashukuru kwa msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.