Search results

  1. P

    TCRA YASHUSHA GHARAMA ZA KUPIGA SIMU NCHINI ifikapo Machi Mosi

    Hivi mnafikiri au mnasema tu. hakuna kitu kinachofanywa na serikali hii ya kwenu kwa faida yenu. Bora yangu nishajitoa najiongoza mwenyewe.
  2. P

    Maaskofu kuipelekeka serikali mahakamani kuhusu kuchinja nyama

    Nashangaa kama kuna watu hawajui kutenganisha IMANI na MAISHA YA KAWAIDA mpaka sasa. kwani masuala ya vyakula ni ya kimwili zaidi na si ya kiroho. SHETANI AMESHAWAVYAMIA NANYI MUMEANZA KUMWABUDU KWA KUTHAMINI MAMBO YA KIMWILI KULIKO YALE YA KIROHO.
  3. P

    Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!

    Ingekuwa guest house tungejipa matumaini labda itaamka na kutoka. lakini nijuavyo mimi serikali ilishazikwa na Mwl Nyerere, labda tusubiri kupata nyingine akija kwa mara nyingiiiiiiiiiiiiiiiiine!!!
  4. P

    Wenye wapenzi vyuo vikuu, ukiyaona haya kaa tayari...

    Hivi wapendwa hamjui kuwa chuo wasichana wengi hupata degree zisizo zao kwa kufanyiwa assignment!!!! Na huwa nao wa aina tatu 1. wa madesa {masomo} 2. wa cafeteria{ yaani masuala ya mapolokochoko manjale-misosi} 3. wa ukwelikwa hiyo jitathimini wewe uko wapi?
  5. P

    That painful feeling of being ignored!!!

    poleni nyote ambao mnakuwa ignored kwa mara ya kwanza Mungu awasaidie, wengine hiyo ilishakuwa kama desturi.
  6. P

    Tar 16/april/2012 usaili wa ndani wa wanajeshi wenye diploma unaanza..........

    hv hizo habari zingatangazwa au mpaka uwe na ndugu huko kwa jeshi ndio utazipata? kwa wale wanaotaka kujiunga nafasi zinatoka lini au no news? Tupeane taarifa basi
Back
Top Bottom