Mpe muda azowee pesa kwanza. Pesa Zina utamu kama ushamba wa kuja mjini. Akizowea atakurudia na kukuletea card za AM SORRY BABY na maua.
Pole sana mkuu
More problems
Haya Matatizo yanasumbua sana akili, mkuu hauko peke yako. wako wahanga wengi sana na wachache hufanikiwa wanapokubaliana na matokeo kwamba "Nguo ikizeeka huwa dekio".
Mwache sio kwa kutafuta mbadala wake, mwache kwa makosa yake na kufanya jambo lingine tofauti na mapenzi kwa...
Basi hapo kuna mawili, labda tume ya Prof. Mruma inadanganya kwa sababu zake binafsi labda ufinyu wa vifaa na muda pia (Siku 21 nadhani kama sikosei).
Au feasibility study report iliongopa kwa sababu zake pia ( rushwa ilipita au uharaka na weledi wa mambo haya).
Ina maana tulisign Mikataba bila kujua kiwango cha madini katika udongo/miamba yetu??? Kma tulifanya tafiti kabla na kugundua zipo kiasi kadhaa na kuithaminisha kiwango cha fedha kinachoendana na mkataba kosa ni la nani?
Halafu swala la kiwango cha madini hili hufanywa kabla ya mkataba, mwekezaji anakuja kufanya utafiti kwanza, anajiridhisha na kiwango kilichopo kama kitamlipa ukifananisha na gharama za uchimbaji na processing kwa ujumla mpaka ifike sokoni.
Srikali pia hutoa wawakilishi katika hili ili...
Halafu kumbuka kosa kwa namna yoyote lipo upande wetu. Hawa ACACIA tutawalipa kwa namna yeyote tutakayo wasumbua.
Tratibu za mikataba zilifuatwa vyama kwa upande wa ACACIA, tukaridhia na kusaini. Upande wetu ndio ulikua na shida, watu walipelekeshwa na vijisent sasa tunahaha.
Kama walikubaliana na taarifa za utafiti za kiwango cha madini kilichopo ndani ya report itabidi watoe majibu.
Hili jambo liliongozwa na uharaka na mkono mrefu wa rushwa, na walaiopokea rushwa ndio waliotuingiza katika sakata hili (iwapo tu data walizotoa tume ni sahihi).
Hili zoezi ni la kwetu , njia yeyote tutakayoitumia tuchukue tahadhari kuu tusije tukajiingiza matatani kwa maamuzi yetu yanayopingana na mikataba tuliyosaini tukiwa na akili timamu, na kuisoma na kuielewa.
Huwezi kuuza kiyu bila kujua gharama yake, huwezi kutaja gharama ya jambo bila kujua...
Kwani kabla hatujaingia mikataba si huwa kuna zile research team za kugungua kiwango cha madini katika eneo husika?? Hizo report huhusisha mchanganyiko wa local researchers na hao wawekezaji, sasa tulivyopata hizo data na kuridhia na kupelekea kudondoka saini tulikua hatujielewi??
Ok, tulisoma...
Bado halijawa tatizo kama umethubutu kuandika hapa, usijali yote haya yamekwisha leo. Usiwe na mtu kwa sababu unategemea kitu fulani, jaribu kuwa naye kwasababu unamuhitaji.
Hayo ni matokeo ya kuumizwa...Wacha kabisa revenge za kuacha mutu. umeshamblock whatsapp, calls, text bado unataka umblock na huku jamii forum???hahahahahahaaaa
Binaadam ana makeke sana akikasirishwa
Jifananishe na huyu uone kama kuna utofauti. unafurahia kuona machozi ya binaadam mwenzako??
Dark Passenger
I just know there's something dark in me, and I hide it. I certainly don't talk about it, but it's there - always. This Dark Passenger. And when he's driving, I feel... alive, half sick...
Tunaita OVER EXPECTATIONS.
Usitegemee sana makubwa kwa binaadam, mwamini Mungu wako kwa kila jambo. unaweza ukanitama ukaniandikia LIFE PLAN wakati hujui exactly what I have, kichwani na mfukoni.
Unapoweka mategemeo makubwa lazima uone hana jipya na unajikuta unambwaga na kutafuta mwingine...
miss chagga sio wana ndoa tu, hata wapenzi au wachumba wakifakarakana ni busara kumaliza mambo yao wenyewe.
Tafakari tu, Mpenzi wako wewe ndio unamjua, unajua alichokukosea unajua ulichomkosea, kwanini usimkabili na kujishusha na kumaliza utata???
unanifuata na kunieleza juu ya mwenza wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.