Mimi nina hoja binafsi, kuna taasisi inakuwa na ndugu wa damu kabisa, wameajiriwa hapo, wanaweza kuwa wawili au hata watatu. Utakuta pia kuna Baba, Mama na Mtoto, au mke na mume n.k. Kwa maoni yangu, hali hii hufifisha sana utendaji, hata kama wote hao wanazo sifa. Nadhani busara itatumika...
Hili tumelisubiri sana litokee hapa Tanzania, kama ni kweli saaaaafi sana maana hata watendaji wengine watahamia Idodomya na Dar foleni zitapungua automatikali
Eti, Waziri wa nchi kazi maalum!
Hii kazi maalum sijui huwa ni nini, maana wizara zingine zilikuwepo nyingi tu na mambo yote maalumu yalikuwepo, au kuna maalumu zipi zaidi ya ardhi, kilimo, ulinzi, usalama wa raia, maji, mifugo, uvuvi, jinsi na watoto, elimu , mazingira n.k
Pengine mimi ndio...
hebu naomba niulize, hivi ni lini mtapongeza uteuzi wa JK? maana kila uteuzi anaofanya, mara ooooh, udini, mara ooooh, rafiki yake, mara ooooh, analipa fadhila!!!! mnataka ateue kwa kuitisha mkutano wa hadhara wa maoni? mimi nashangaa sana, mniwie radhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.