Ni kweli umri si kitu, mie mke wangu ni miaka 26 na Mimi 38 maisha tamu kabisa, tuna watoto 3 mkubwa Ana 7 yrs na mdogo 7 months. Kwanza wanaume hawazeeki! Utapata kababu kwa Sanaa but kinapiga mavitu balaa.
Mini Nina miaka 38 mke wangu 26 tuna watoto 3, maisha ni raha kabisa, sie Kama kumbikumbi out Kama kawa heshima kibao kwa jamii wanaotuzunguka. Miaka si issue kumbuka wanaume hawazeeki Hata kibabu kinaweza piga vitu kwa binti na akajaaliwa watoto kibao
Mbona mwapoteza lengo?mpeni experience acheni kuzunguka. Mie Nina 38 mama Ana 26 mambo saafi kila kitu poa tuna watoto wawili jike na dume. Kama atakamilisha taratibu huyo ndiyo mume. Olewa mwaya. Hata hivyo vitabu vinaonyesha wanaume hawazeeki upesi huzaa na kugonga vitu Hadi umri mkubwasana.
The comedy siyo ya kuchekesha ni mamna ya kufikisha ujumbe fulani kwa wadau . Wasikilize kwa makini utagundua aidha wanakumbushia jambo au wanasisitiza jambo ambalo limeshazungumzwa na vyombo vingine vya habari.
Hata hivyo nilisaidia, yeye alileta issue hii kwa mabest baada ya kuona market ya GARI lake itachukua muda, akaomba nimtafutie Mteja nilivyona inakua ngumu kupata Mteja wa haraka Nae anashida nikaamua ninunue Mimi ingawa Sikua na mpango huo, baada ya wiki moja ndo akaibuka na swala hili. Hata...
Jamani wakati Nanunua hii GARI , siyo Mimi pekee hata ndugu walishauri hivyo Kwani kimfaacho mtu ni Mali Yake na sio misaada pekee , huyu bwana siyo mchovu sana
Kwani Ana GARI nyingine anayotumia sasa, ndo maana niliona Kama kuna katamaa ndani ya hilli swala. Kwa ubest na Mimi upo ila sio...
Nikama wiki moja sasa, sijafanya ukrabati wowote, anaomba nimrudishie mwisho wa mwezi huu atakua amepata pesa. Kwa maana hiyo nitamsubiri kama wiki tatu hivi. GARI yenyewe ni Toyota corona siyo mzuri kiivyo na nimempa 3.5m
Nina best yangu ambaye alikuja kwangu kuniomba nimtafutie MTEJA wa GARI yake. Alikua na shida sana Kwani alikua anaumwa. Kwa Kua wateja ni shida nikaona njia raisi ya kumsaidia ni kuinunua Mimi mwenyewe. Tukaelewana nikampatia pesa akanipatia GARI na file yake, baada ya wiki moja akanijia...
Siyo ndogo mkuu mabenki yanatoa kwa 2% -5% kwa mwezi hao wa 20%-30% kwa luga ya mtaani tutawaita vishoka. We are very formal and looking forward to a recognized institution in financial industry.
Kwa sasa nadhani nikisema nauza share soko la hisa hawatanikubali Kwani kampuni bado changa, wazo langu kumpata anayeweza kuwekeza kwa makubaliano ya kugawana faida , kwa kifupi sana ni hivi, tunakopesha kwa
10% kwa mwezi na marejesho ni ndani ya wiki 12. Hapa ina maana kama umeweka m1 baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.