Shida ya Wachezaji bora hupigana na wakati uliopo. Wahenga Wangesema: Pondamali, Mkambi na Sunday Manara nk. Hawa walikuwa juu sana wakati wao.
Kwa Wahenga wa kati wangekuambia ni Lunyamila, Chambua na Kizota nk.
Kwa Vijana wangekuambia Kanavaro, Ngasa na Msuva nk.
Hivyo inategemea wewe...
Kwani siku hizi matomeo ya mpira yanamuwa moderated na Clouds Fm? Wao ni nani kwenye mpira wa Tanzania mpaka usubiri Tangazo lao,?
Shida yenu Simba ni ileile kuamini kuwa mtashinda ligi kwa mechi moja. Mfumo huu wa matumaini ni mzuri sana hasa kama mtakuwa mnaupeleka mahospitalini ili kutoa...
Lazima wakimbie tu maana siku hizi ni watu wa sababu. Hebu fikiria kiongozi anasema TFF viongozi ni kabila MOJA. Kiongozi kama huyo atakosa kugomea mechi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijuavyo tangu zama za kale ya ustaarabu huko Ulaya na Marekani Wanasheria huitwa kwa Utani THE LEARNED BROTHERS/SISTERS. Hii imechangiwa pia na nguvu na mbwembwe anazokuwa nazo Hakimu au Wakili pale mahakamani.
Dhana hii ya learned ndiyo miaka ya karibuni imetoholewa na kuwa WAKILI MSOMI.
Lakini viongozi wetu ni TATIZO. Yaani Yanga na Simba zinavyotumia fedha nyingi kwenye wachezaji wa nje ni AIBU. Bora Yanga wanaibiwa na kombe wanabeba kuliko hao wenzao
Hivi hawa viongozi wa Afrika Mashariki wako wapi? Yuko wapi Kikwete? Yuko wapi Kenyatta? Yuko wapi Kagame? Yuko wapi Museveni? Viongozi wetu wa asubiri nini kuchukua hatua? Au iko wapi mbona kimya sana? Amkeni Waafrika tuiokoe Burundi. Mungu Ibariki Afrika.
Bahati nzuri Gwajima ana vipaji vingi. Licha ya hiki Kipaji cha KUTUKANA anakipaji cha kuombea wagonjwa na kufufua wafu. Nadhani atapona haraka maana atajiombea. Of course hata akifa kanisa lake ni kubwa sana linaweza kumfufua!
Wanawake ni tatizo siku zote. Na kwa sasa moja ya mambo yanayotukwamisha ni hiyo dhana ya jinsi. Akili yao yote ni idadi sawa kwa gharama yoyote. Wanawake ni mama zetu lakini, ndiyo janga letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.