Hii nivita zidi ya uislamu,hayo mabom niya polic'wanacho kifanya ndicho kilicho fanyika Mombasa,wana kukamata wana kubambikia silaa ilitu waku poteze,wakishindwa maakani wata anza kutu ua.kwa akili ya kawaida jiulize kama kuna mtu anaweza kukaa na vitu kama ivo ndani.hatuta baki salama.
Tbc pelekeni upumbavuwenu kule,hiki ndicho kituo cha televishini kinacho endeshwa na kodi zawa vuja jasho huku wana tunyima haki yetu yakupata habari.uku wanakuja hoja zaki ------- kabisa eti amu mwogopi,akati jakaya alisema kuliko achaguliwe Lisu kua mbunge nibora aka chaguliwa Dr silaa awe...
Dh!kweli Lema ana ya enyesha magamba yakisia abari kama hii yanatani Lema afe.wana arusha tupo pamoja nawe kwa chechote.kama wata kufungulia kesi ya uchochezi wange anza na gamba mkubwa ------.ila kwa waraka ule hakuna kesi pale,mapolic ccm yana jisumbuatu.
Zito aondoke zake atuachie chama!watu tumepoza nguvu,jasho na damu kwa ajili ya Chadema kama ana ona ana grupu kubwa linalo muunga mkono ndani ya Chadema aondoke nao aka anzishe chama au aendao uko kwa magamba.tume jilea kufa ajili ya Chadema'zito asijidanganye ata baki salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.