Mimi naona madaktari muendelee na mgomo tena mkaze uzi kweli kweli. Kama ni wananchi kufa acha tufe tu hadi tupate akili. Watakaokuja nyuma yetu watajua cha kufanya kutetea maslahi ya nchi yetu. Wakati mwingine mtu unatamani hata vita viingie nchini kama Rwanda labda ndo viongozi watabadilika...
Yusufummaka sikubaliani na wewe hata kidogo. Katika serikali hii kuna viongozi waliobobea katika taaluma na uongozi waliosoma masuala ya uongozi ktk taasisi za ndani na nje nyingi tu. Watu wana madigree ya kufa mtu. Kuna wanasheria wenye sifa za kimataifa kwa jinsi ya ufaulu wao. Ndani ya...
Issue ni ya Mwigulu, unadhani ukileta mada ya Slaa itabadili mawazo ya mada? Pole sana. Hizo ni tactics mufilisi na kitoto sana. Mchumi Grade 1 Mwigulu hata kijijini kwake watu hawana soko la kuuzia vitunguu vyao na mafuta yao ya alizeti. Eti mchumi huyo. Wassira alishampasha kuwa kuwa na A ya...
Hapo kwenye nyekundu, kwani ana faida gani hadi aombewe kupona. Aopone ili aendelee kutetea ufisadi siyo? Huo muda wa kumwombea bora watu wakalime mchicha. Watu kama hawa inabidi waombewe kufa tu.
Ukiona mtu anajisifia kwa usomi, uzuri, mali, au sifa yoyote yake binafsi tena kwenye public, jua huyo mtu ni matatizo matupu, na kichwa kitupu. Mtu mwenye akili hawezi kujisifia. Watu ndo watampa sifa wanaomwangalia.
Mahakama nanyi gomeni tuone serikali itaenda wapi. Kwani nyie mahakama mnapata maslahi gani mazuri? ukiondoa kuwakamua wateja wenu. Siku watu wakiamua kusuluisha migogoro yao kwa njia za majadiliano mtaumia sana.
Umelewa RUBISI wewe. Mnyika na Slaa ni zaidi ya wabunge 50 wa CCM. We endelea kula hizo pesa za wizi za Kalamagi na wenzake, kuliko kutoa pumba zako hapa.
Unaweza kujua kama ni kweli kwa kutafuta taarifa za matukio huko Moshi. Jiulize je hayo matukio yanayosemwa ya mgomo yapo? Mabasi yanapopolewa mawe kweli? n,k.
Amefanya vizuri kwenda kujionea hali halisi. Kwa nchi ilipofikia kila mbinu inatakiwa kutumika. Sio kuweka strategy tu na kukaa ofisini, utapewa taarifa feki. Kila linalowezekana kulifanya kwa stahili yoyote lifanyike hali mradi lina maslahi kwa nchi yetu. Kwani kwenda pale Mwenge amepoteza...
Ni speech yenye uchambuzi makini kweli. Watakaochangia hoja hapa ni wabunge wachache maana inahitaji usomi na kujipanga vizuri kutoa hoja za kueleweka. Sidhani kama akina Lusinde watatia mguu hapa. Wapo vichwamaji wengine wa CCM watakaoibuka na maneno ya mipasho kwenye hoja makini kama hii...
Muhimu hapa ni kwamba kapata utajiri huo kihalali?
Kama ni kihalali ana haki ya kumiliki hata magorofa yote ya Kariakoo. Lakini kama sio halali lazima tujiulize. Hapa sio kumwonea wivu bali tunataka uadilifu katika jamii yetu. Lakini pia mimi naomba wanajamii ambao mna mashaka na mali za mtu...
Jeshi la Polisi nchini ndilo linahusika na kuratibu usafirishaji haramu wa Wasomari na Waethopia nchini kupitia maeneo mbalimbali ya nchi yetu, licha ya Rais Kikwete juzi kuwamwagia sifa kuwa wanashughulika sana kukabiliana na uhalifu huo.
Ushahidi ninao.
Katika maeneo yote ya bahari kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.