Wana JF kwanza mimi ninamashaka na taarifa yenyewe kama kweli imetolewa na CAG (Ludovick U) ninayemjua. CAG hawezi kutoa taarifa nyepesi na yenye makosa mengi kiasi hicho. Taarifa yenyewe haijahaririwa na wala haijasainiwa na Mamlaka husika. Hivyo basi tuachaneni na taarifa za mitaani ambazo...
Nataka kujua elimu ya Dkt Lyimo na chuo alichosomea hana shule kabisa ya HIV/AIDS pia ARV inavyoonekana hajui nini hata madhara na zinavyofanyakazi hajui, na kama kweli ni daktari basi wagonjwa wetu wako hatarini.
Sikio la kufa halisikii dawa, wewe masha juzijuzi tu umeondoka mwanza kwa aibu, na fedheha kubwa leo hii unarudi tena? haya sasa nenda ukavunjike guu maana hautaki kusikia la mkuu.
Huyo mbowe, slaa, zito, jj wala tundu siyo saizi yake, mtu ambaye anaweza kupima naye uwezo ni makinda hata yeye atamuacha kwa mbali ndiyo maana alipokuwa spika na makinda naibu wake Anna alipima uwezo wake na akamuona mwepesi tu ndiyo maana akandaa mazingira ya kumung'oa na kweli akang'oka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.