Search results

  1. darison andrew

    Patrick Karegeya: Mysterious death of a Rwandan exile; he was advising SA and Tanzanian intel

    Kalegeya deserved to die as he killed his countrymen else where in Wolrd he is resiponsible of what he consipired
  2. darison andrew

    Rage akinukisha tena simba

    siasa every where inawezekana Rage yuko sawa au asiwe sawa,pia wanaomksoa hawajui wanastaili kufanya nini
  3. darison andrew

    Shame on you ITV tuwasusie hawa

    hapana shaka kabisa tuiweka itikadi pembeni CHADEMA ni chma chenye CREDIBILITY ya hali ya juu ni kweli kuwa watawala hawana jipya bali kutumia nguvu ya dola.kama watanzania tuombe mungu sana kama Taifa tupo katika wakati mgumu kuliko ilivyokuwa wakati wa vita ya kagera
  4. darison andrew

    Inasikitisha kuona CHADEMA wanawachangisha watu hela Iringa wakati wanapewa hela ya Ruzuku

    Ina maana kwa wote mliomshauri mtoa mada kuwa haelewi wakati tulionao chadema wana sababu ya kununua magali,kuomba msaada huo wa kifedha mmeona conservative wakiomba hera sasa kazi uliyonayo ni kutoa maada sahii si kazi rahisi kwako kama unataka itikadi na si uhalisia
  5. darison andrew

    Hatimaye yule polisi aliyemuua mwalimu kwa risasi amefukuzwa kazi

    hali si shwari matukio ni mengi sana ya unyama unaowahusisha polis
  6. darison andrew

    Kiongozi wa Juu BAVICHA amhujumu Dr Slaa

    we are in point of no return watashindwa tu hata kama Watanzania hawapo tayari kudanganywa tena na wapuuzi kama hao
  7. darison andrew

    Fastjet: Kwa wale mlikuwa mnadhani itakuwa msaada kwa watanzania, someni hapa.

    tayari nimesafiri leo na fast jet nauli hiyo haipo tena ilikuwa mwanzo kukaribisha wateja niko mwanza nimelipa laki mbili na sitini na mbili two ways kwa angalia kwaneye website utaona kuwa nauli hiyo ahipo tena
  8. darison andrew

    CCM walio ula!

    yetu macho!
  9. darison andrew

    Zitto awasilisha hoja binafsi juu ya walioficha fedha Uswiss

    ZITTO AMEFANYA KAZI YAKE ATAKUMBUKWA WAKATI WOTE WA MAISHA YAKE AKIWA MBUNGE HAKIKA AMETIMIZA WAJIBU WAKE NI WABUNGE WALEWALE WATAMBEZA LAKINI KUSUDI NI MOJA KUIKOMBOA NCHI HII NIWAOMBE WANAJAMII WEZANGU TUFIKILI NI NAMNA GANI TUNAWEZA SASA KUTUMIA NAFASI ZETU KAMA RAIA WEMA KUIWAJIBISHA...
  10. darison andrew

    Comparing: Lowassa vs Pinda

    ni wazi kuwa LOwasa ni zaidi ya pinda Lowasa kila aliyechin enzi hizo alionja shughuli yake huyu bwana kash:becky:indwa kusuh bei sukali lowasa tatizo ni yaliyomkuta enzi hizo watanzania wanajua uwezo wake wa kusimamia kazi
  11. darison andrew

    Kanjanja mwingine wa elimu ni Dr. Hamis Kigwangala

    ni walewale ccm hawana jipya
  12. darison andrew

    MJUE Lowasa

    NO RESERCH NO RIGHT TO SPEAK SO WE SHOULD LOOK THE FACT OF THESE
  13. darison andrew

    Mtoto aliyekojolea msaafu kortini...

    NI VIZURI HATUA ZICHUKULIWE:tongue:
  14. darison andrew

    Kikwete: Pamoja na utoto wake, kijana alifanya kosa kubwa kukojolea msahafu!

    siku zote lazima inchi itawaliwe na sheria na hasira lazima hatua stahili zichukuliwe:photo:
  15. darison andrew

    Kongamano la Mwl Nyerere Nkrumah Hall: Esther Wasira awagusa wengi!

    nimekubali sana kuhu su maada hii ni wengi hatuji tuanishi bila kujua:juggle:
  16. darison andrew

    CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

    kweli itakuweka hurun mtusaidie tunakufa kwa umasikini wa mmmmmm!!!!
  17. darison andrew

    Mbowe: Nchi imekwama, Kikwete kaelemewa

    umenena!:rockon:
  18. darison andrew

    Umeme umekatika nchi nzima.

    anayekataa kuwa umeme haujaktika hajui kinacho endelea ni kweli haupo hapa ifakara,mwanza hamna umeme, na kwingi:A S angel:neko
Back
Top Bottom