hapana shaka kabisa tuiweka itikadi pembeni CHADEMA ni chma chenye CREDIBILITY ya hali ya juu ni kweli kuwa watawala hawana jipya bali kutumia nguvu ya dola.kama watanzania tuombe mungu sana kama Taifa tupo katika wakati mgumu kuliko ilivyokuwa wakati wa vita ya kagera
Ina maana kwa wote mliomshauri mtoa mada kuwa haelewi wakati tulionao chadema wana sababu ya kununua magali,kuomba msaada huo wa kifedha mmeona conservative wakiomba hera sasa kazi uliyonayo ni kutoa maada sahii si kazi rahisi kwako kama unataka itikadi na si uhalisia
tayari nimesafiri leo na fast jet nauli hiyo haipo tena ilikuwa mwanzo kukaribisha wateja niko mwanza nimelipa laki mbili na sitini na mbili two ways kwa angalia kwaneye website utaona kuwa nauli hiyo ahipo tena
ZITTO AMEFANYA KAZI YAKE ATAKUMBUKWA WAKATI WOTE WA MAISHA YAKE AKIWA MBUNGE HAKIKA AMETIMIZA WAJIBU WAKE NI WABUNGE WALEWALE WATAMBEZA LAKINI KUSUDI NI MOJA KUIKOMBOA NCHI HII NIWAOMBE WANAJAMII WEZANGU TUFIKILI NI NAMNA GANI TUNAWEZA SASA KUTUMIA NAFASI ZETU KAMA RAIA WEMA KUIWAJIBISHA...
ni wazi kuwa LOwasa ni zaidi ya pinda Lowasa kila aliyechin enzi hizo alionja shughuli yake huyu bwana kash:becky:indwa kusuh bei sukali lowasa tatizo ni yaliyomkuta enzi hizo watanzania wanajua uwezo wake wa kusimamia kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.