Mambo yaliyo tokea kwa Marehemu hakika ni vigumu sana kuja kufutika kwa haraka katika fikra na kumbukumbu za former sponsor's personal doctor ilikua siku mbaya saana hali ilipoanza kubadilika najua hawezi kusema chochote Ila ipo siku atawasimulia wajukuu zake safari za kutoka Ferry mpka kwa...
May the love and mercy of our Lord be bestowed upon to you people of Ukerewe and your family during this unfortunate time. May God rest (dead one) their heart in eternal repose. My most sincere condolences.
Mkuu Pohamba salute !
Huyu former our boss issue yake ilianza kipindi cha uchaguzi 1995 ambapo Ben alichuana vikali na Mzee wa Kiraracha ilisemekana kuwa aliplay vital roles kum weaken Che Nka.
Kumbuka mpaka jamaa wanamzima alikuwa on his way kwenda Canada via border Holili kabla jamaa...
Sometimes inabidi ata kutaja hili kabila inatupasa tubadili na majina huko nchini hali imekuwa mbaya sana . Ila kama tumetangulia basi tumetangulia they should run if they want catch up our race. Rest in peace Akwii .
Naomba ku declare kuwa mimi ni mwana mabadiliko muumini wa haki na usawa. Tangu kuja kwa EL speed ya Chadema imepungua Sana EL alisema anataka kuintransform chadema kiwe cha kinachofanya modern politics this is too contrary with his main objective .
Lowassa Edward Ngoyai is killing opposition...
Haya mengine ni makubwa nakuambia hii mada itabadilika . The late + golden boys+ Privatization = jibu . Btw may Lord rest his soul (Kingunge) in everlasting peace.
Majina yanashabiana sana mfano Aika wengi wanajua kuwa wamarangu ndo Aika wapo wengi wakati ata sehemu nyingine za uchagani kuna Aika . Ukitaka kututofautisha sisi wachaga basi angalia lugha zetu za kienyeji mfano wamachane wanasikilizana sana na wameru . Majina yanafanana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.