mfumo wa Fifa ni Kuwa ile timu yenye rank ya Juu.. Ndio inayoanzia ugenini duniani kote hata ukiangalia mechi za CAF.. Mfano simba ilipokuwa inacheza na kiovu ilianzia Rwanda kwasababu Simba Iko Juu ya Kiovu.. Au Beyern walivokuwa wanacheza na Marseile.. Utaratibu uko hivo kaka ranking ndo inaamua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.