kuuwawa sio lazima uwe bilionea mbona hata walalahoi wanapigwa beto wanakufa? Cha muhimu ni kujua njia sahihi ya kupata unachotaka bila kutapeli na kuumiza wengine.
umeishi Arusha kwa muda gani? Coz ninauhakika na ninachokuambia from my own personal experience. I dont chew the staff as many do bt am in business with those who do.
mimi ni mzaliwa wa Arusha na ninamarafiki wengi maeneo hayo uliyotaja na situmii kilevi chochote japo wenzangu ni watumiaji bt they always consider me as one of them.
Kama ukija kwa amani mbona utaenjoy. Ila cha muhmu jifunze kuwa na mawasiliano mazur na wenyeji na usipende makundi ya wahuni coz utakuwa unavutia matatzo upande wako, vita za kimakundi zipo sana.
me ninavitabu viwili vya robert kiyosaki cha kwanza ni poor dady and rich dady na cha pili ni guide to investment na vingine vingi na vyote ni soft copy . Kwa yoyote atakayeweza kunifuata nilipo ntampa kwa free. Napatika Arusha ungalimited. Tushirikiane kujenga nchi yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.