Sidhani kama kuna M bunge yeyote kutoka Kusini ataunga Mkono hoja yoyote Bungeni isilo na manufaa kwa wanakusini (kama kawaida ya Wabunge wetu)na akawa salama Jimboni kwake kwa mwendo huu.
Hii taarifa kama ni ya ukweli ,natoa angalizo.
Mh Mnyika na Lema mkija Mtwara tafadharini musimtaje jina mtu wala Chama chochote cha Siasa ,nyie zungumzieni faida ya Gas kwa manufaa ya Wanamtwara na Taifa kwa ujumla ikibaki Mtwara ukitumia ile kaulimbiu Gas kwanza Vyama baadae,Mtwara...
Sasa nimeanza kugundua kwanini Serikali inataka Gas iende Dar,Maana tangu siku ya kwanza tumeandamana ,MATAMKO yoke yanatolewa kutoka Dar, kuhusu sisi Waandamanaji,cha ajabu zaidi mengine yanatolewa na watu wa huku huku Kusini kama wewe Mheshimiwa M bunge ,hivi unashindwa kweli kwenda jimboni...
MAFILILI ,Acha kutuona sisi Maboya narudia tena ,wewe unataja tu majina ya watu na vyeo vyao,mbona hao unaowataja hatuwaoni wakizungumza lolote kuhusu hii Saga?,Huyo M bunge Murji amefuatwa Ofisini kwake awaoneshe wana Mtwara Mkataba wa kusafirisha Gas anasema hata yeye hana (ukumbuke huyu ndiye...
MAFILILI,Tafadhari usituone sisi watu wa Mtwara kama hatuna ufahamu ,Hao Wabunge unaowasema wakatusemee hili si ndiwo wale ambao walizomewa mbele ya Kinana kwenye Mkutano wa Kuitambulisha ile TIMU MPYA YA CCM pale Soko Kubwa kwani wewe haukuwepo siku ile?,tafadhari tuheshimiane kaka.
Jamani tuwekane sawa,Hakuna mwana Mtwara yeyote asiyetaka Gas kuondoka ,tatizo ni namna ya kuondoka .Kwa nini iondoke kwa njia ya Pipe na production ikafanyike Kinyelezi-Dar badala ya Mtwara?,Kila mtu anafahamu kule inakofanyika final production ndiko kutakako pata mafanikio.Tunataka production...
Sijafanya utafiti ,lakini sikubariani na wewe kusema ZITTO anapendwa sana Mtwara,(Najua unataka kuleta mambo yako ya udini)
Katika eneo ninaloishi mimi NABWADA kwa kiasi cha Vijana wengi ninaowajua wanafurahishwa sana na wanaonekana kuwakubari zaidi Mnyika na Lissu .
Jana kulikuwa na...
Hatukatai (MAFILILI) Hii ni mali ya Tanzania,Wana Mtwara tunataka kuuona Mkataba wa Gas kati ya Nchi na huyo Mwekezaji unasemaje?,tumesikia kuna watu wamewekewa Pesa Uswis na Makampuni ya Gas na Mafuta (haya yote yako Mtwara)
Hatujaiona sababu ya Msingi ya Kujengwa Pipe la Gas tu Dar na kinu...
Sisi huku Mitaa ya Railway tumeshamuelekeza Murji kuwa hatumtaki na analifahamu,hajawahi kufika huku na wala hakuja kuitisha mtutano wa kutoa asante.
Huku ni CHADEMA mpaka mtoto mdogo atakuambia hivyo ,Diwani wetu wa Kata ya Railway tunamuandaa.
Je na ile Ahadi ya M bunge Murji ya kuchimba Visima vya Kudril kwa kila Mtaa wa JIMBO la Mtwara Mjini kaitimiza tayari?.Acha porojo ww ,Mtwara siyo ile ya miaka ya 1995.Upo?.
Wewe Ray Jay kweli ni mtu wa Mtwara au umeamua kufanya Sarakasi na taulo mchana kweupe?,CCM sasa ndiyo inaadhirika ,kwani haukuona jana pale ,Viongozi walivyozomewa?,kama kusoma haukusoma je hata Picha kaka?.
Sio huko Koko Beach pekee,Nakupa taarifa tu Mtwara Mjini pote CCM haifiki kata Railway kufanya kitu chochote ,mpaka Diwani wa CCM hashaambiwa kuwa hana kazi pale tena.HATUMTAKI .Kuna kijana wetu tunae kwa tikiti ya CHADEMA tunamuandaa pale.Kwa taarifa tu hii Kata ndiyo iliyobeba karibu kila kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.