Hamuwezi kujitambua kwasababu ni malimbukeni. Sioni sababu yenu ninyi kuishi huko wakati wengi wenu mnaishi kwa shida sana. Na ndo mana mkiona watanzania wenzenu wanaokuja huko kikazi mnawakimbia Kwasababu ya kuona aibu.
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia CHADEMA, amepoteza kiti hicho kwa kuenguliwa na Mahakama katika kesi iliyokuwa inamkabili ya kupinga ubunge wake.
UPDATE: Audio imepachikwa hapo baada ya maneno yafuatayo...
Kesi hiyo iliyofunguliwa na makada watatu wa CCM, Mussa Mkanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.