Mkuu kuna seller wanafanya free shipping kuja hata huku Tanzania nimenunua mzigo mwezi wa tisa kutoka UK umekuja bure mpaka hapa tena ni Kilo karibu 60, awe makini tu katika kuangalia selller anasemaje maana kuna wengine hawaleti huku kabisa
Hivi unaelewa nini maana ya post code? je unaweza niambia post code ya nchi kam nchi ambayo sio ya area fulani?mfano ya UK, Canada au utakayoona wewe
Halafu nitakuuuliza paypal wanafanya kazi gani.
Ila pia ni vyema ajue na huko kwenye biashara kama hana uzoefu ni bora asiingie heizo hela kichwa kichwa asije akapata hasara, maana wataalamu wa baishara wanashauri hela za mkopo ni vyema zitumike kwenye kuendeleza biashara na sio kuanzisha.
Mkuu japo tamaduni zetu hazifanani ila kuna vitu vya msingi ambavyo vinaingiliana na inatakiwa tuvipe vipaombele, maana kwenye jamii makundi yote ni muhimu na siya kudumu kama unavyojua kwenye maswala ya ukuaji wa binadamu na lazima hatua hizo tupitie, ni muhimu kuweka mambo sawa ila kila...
Mkuu sio kuiga uzungu tunastahili kufikiria haya tukiwa na umri wa ujana hasa kwa watunga sera, wenzetu wanajithamini kwa kuweka mifumo mizuri hata wakizeeka, mfano la siti zao maalum kwenye mabasi au hata vituo vyao vya kuwahudumia, Huku kwetu ni kula ujana tu yambele yatajisumbukia yenyewe
kwa mujibu wa hiyo link hapo chini nanukuu baadhi Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, amewatimua vigogo 13 kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Afya na Ustawi wa Jamik atika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na kuwarejesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.