Napata shida sana na hizi propaganda zilizoanzishwa hivi karibuni za kuchafua baadhi ya Wanasiasa;1.Mnyika hana digrii. 2.Mbowe ni DJ 3.Slaa anatumia jina la mtu tofauti.Sijui yana malengo na tija gani kwa taifa hili.
Sina bahati ya kusoma kitabu kilicho orodhesha elimu feki za baadhi ya...
Uislam una nguzo saba,je hii ya kuchinja ni nguzo ya ngapi?.Wakristo wameendelea kuwa wastaarabu na wavumilivu katika hili kwani kuchinja waislamu ni suala la muda mrefu wala halikuwa na shida.Sasa tatizo limekuwa nini?
wenye kwenu kwaheriiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!! teh teh.wafadhili sijui kama wataendelea na ufadhili kwani ndo hakuna kazi ya kuwafanyia nje ya cdm/bavicha. watakula jeuri yao.jipangeni kukata rufaa na kupiga kelele kwenye vyombo vya habari ili msisahaulike mapema.................
Kiongozi
Kwa hiyo Rais anao uwezo wa kikatiba wa kuepusha bunge kuvunjwa kwa kutumia vipengele ulivyotaja ili kufanya marekebisho hivyo wabunge hawatafikia hatua ya kupiga kura ya hapana kwa bajeti.????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.