Pia ninachangia haiwezekani polisi afukuzwe kazi na huyu mtoa rusha asiazibiwe please tunaomba sharia ya rushwa inasema mtoa rusha na mpokeaji wote wanamakosa sawa, sasa kwanini na huyu mtoa rusha asitafutwe na kukamatwa please please please baba wa huyu askari ana familia yake inayomtegemea...
tatizo siyo magufuli, ni mfumo mzima wa utawala sasa kupitia Mzee lowasa sisi tutampa kura ili ccm waondoke zake wewe hujui sisi watanzania tunateseka vipi maisha yamekuwa magumu kila kona bei ya mafuta inapanda kila siku, mafuta ya taa bei juu sasa maisha anatulazimu kutafuta njia mbadala na...
Mimi ni ninamchagua magufuli ,, kwanza kaleta vivuko mibovu hapa tz na juzi juzi kimmoja kilichokuwa kinafanya safari zake dar to bagamoyo kimekufa na kupelewa mkoani lindi kwa ajiri ya kukificha watu wasikione machoni mwao,, kasimamia barabara movu baada ya kuwapatika wakandarasi wasiyo na...
mimi kwa mawazo yangu mdahalo ni sawa ila kwa sasa mgombea wetu yupo busy kutafuta support kwa wazee na akina mama kwa sababu vijana wote numemkubali, sasa ushauri wangu kwa makamba ni kwamba mdahalo huu uwe kwa wenyeviti wa vyama vikuu MH. BOWE VS MH. KIKWETE ,,, NAPE VS MNJIKA ,,,,,,, HAPO...
Frola ni mwandishi wa habari na mwanachama wa TLP unategemea ataandika mazuri juu ya adui yao mbatia?? wakati anajua kuwa NCCR vunjo imechukua viti vyote kasoro vitatu tu katika uchaguzi wa serikali ya mitaa sasa hapo ndipo utakapojua asali na ndimi kipi kitamu??
Jamani acheni jazba hivi ni chama gani kikubwa Tanzania baada ya ccm ? tuwe wakweli kwa hilo sasa kujiunga chadema ni jambo la maana kwa sababu upinzani wa kweli unatoka kwa watu wanaojua maendeleo kama watu toka pande hiyo, mimi kwangu sina ubaguzi kwa hilo mwache mzee sumaye ajinafasi na bado...
WAPO WANGAPI KATIKA NCHI YENYE WATU 48MIL?
waliojiandikisha watapiga kura ni wengi ni vijana kuanzia miaka ya 1978 hadi 1995 hawa wapo milioni 7,450,240 ndiyo ushindi wa lowasa ulipojificha hapo na wengi hawasomi mambo kwenye mtaandao hao wanasbiri siku ikifika wakate tu basi.
Lowasa ndiye...
sasa kama unaombwa shida ni nini mbona kawaida tu kule kwetu kigamboni mbona wajumbe wanapita kila kibanda kuomba kura kwa chama tawala ni kitu cha kawaida kama hutaki unasema sitaki hiyo siyo post ya kutuletea sisi lete za maana tuchangie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.