Kwenye bendera ya wapi kama Tanzania sawa, lakini si kila nchi inamaanisha hayo mliyokaririshwa kwenye shule zenu za mwembeni. Sina uhakika kama kule Cuba, etc rangi nyeusi kwenye bendera maana yake rangi za watu, anyway .....
Sijui kama umenielewa; kwa umri wake Stephen Wasira anastahili kupewa heshima ya Uzee. Kwa hiyo kumwita Mzee Wasira, nimemheshimu sana labda kama wewe ndo hukuelewa kwa kudhani hata neno 'Mzee' ni jina lake.
Habari zake zote ni ku-copy na ku-paste, sijui cha ajabu ni nini akistaafu. Kwa kuwa mjomba wake umeamua kumpa shavu ndani ya ukumbi watu wamjue au siyo!
Mpaka huyo mtu akafungwa, kwa nini hukwenda kutoa usahahidi wako mahakamani? Badala yake unalalama hapa. Nadhani umepewa ushauri wa bure 'ANDAMANENI KITUO HICHO CHA POLISI KIONDOLEWE ILI MUONDOKANE NA BALAA LA KUBAMBIKIZWA KESI MBALI NA ULINZI WA SUNGUSUNGU'
Kwa hiyo 'mtikisiko' hapo ni kitu gani. Au unamaanisha hao wakistaafu hawatapatikana wengine wa kuchukua hizo nafasi. Tuwe makini katika matumizi ya maneno...
Mbona ana elimu inayoeleweka. Amesoma msingi akaenda Diploma - Unashangaa nini, mbona leo mnaandaa programme ya kutoka shule ya msingi moja kwa moja kwenda chuo kikuu!!!!!!
Kwni tatizo ni nini kama akivaa ear phone. Wewe unaeuliza ndo limbukeni. Kumbuka police zamani walikuwa wanavaa kaptula tena bila kiatu, leo wamebadilika. Ear phone anapata news....... na kuondoa msongo. Usikariri sana nanii.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.